Azam Tv mihemko itawapeleka shimoni

Azam Tv mihemko itawapeleka shimoni

lamba ndimu mkuu kama imekuuma sana maana inaonekana unaskia na kichefu chefu
Maneno kama yako nilishaambiwa mara nyingi na kupitia watu wengi sana kiasi wewe si chochote, na zaidi haya maneno ya khanga kila siku yapo tu mengi kwa watu wasiojitambua kama wewe. Labda ubuni jipya
 
Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.

Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzito na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.

Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichotokea ni kama mtu kutema mate.

Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
Usituzingue na sinema zile gari zimetoka duniani na namba Znz kwa nini asitafutwe afisa wa tra akatoa ufafanuzi picha la kupikwa kuziba lingine lile
 
Kweli inasikitisha sana. Vyombo vya habari Tanzania vyote vimetekwa na manyang'au wezi wa nchi hii ambao wasingependa watanzania wasikie habari inayohusu uchumi wa nchi yao. Nape alifanya makosa makubwa ya kiufundi. Wanaoshitaki kuonewa ni vyombo vya habari, unaunda kamati inayoongozwa na vyombo vya habari, ullitegemea waemeje juu ya mshitaki wao. Kwa kujua au kutokujua alimuhuju mkuu wa mkoa. waacha aende zake
 
Nimecheka sana baba mtu. Hoja yako ni ya kitoto mno mkuu, maana ya human rights ni nini? Maana ya uhuru wa kujieleza ni nini? Unawezaje ukanishawishi kwamba chini ya Nape nyinyi wananchi mkazuiliwa kuona na kupata habari za bunge kwamba haikuwepo tatizo lolote kwa mujibu wa uelewa wako wa "freedom of speech"? Ukiwa kweli wewe ni mdau na kama kweli wewe ni msomi, ukinijibu hili basi tutaendelea na mjadara.
Unajua tatizo hua tunaangalia sana mtu alifanya nini, ndio maana nikasema Nape si kielelezo bali kielelezo ni tukio liliomuhusu Nape,nakubaliana na wewe uvunjwaji haki ya ya kupata habari ya bunge live na hakuna mtz anaejielewa alilikubali hilo jambo. Lakin kosa hilo haliwezi kutoo justification ya kuona kwa Nape ni sawa tu kufanyiwa vile. Narudia ishu sio Nape ila jambo aliloyaka kufanya nape. Hua tunakataza kupiga mwizi si kwasababu alichofanya sii kosa lakin sheria imetukataza. Halafu kuhusu ishu ya haki za binadam na ulicho andika freedom of speech sijaona hoja yako hasa ni nini?
 
Inategemea unatafsiri hipi juu ya "dhahabu". Nchi yako ni ya thamani sana as nikasema wewe una thamani ya " gold". Sasa kuiacha nchi yako na thamani yake iliyonayo ichezewe ni sawa na kutokujua umuhimu wa kitu unakiita "nchi yangu" ijapo kwingine wako radhi kuzilinda nchi zao hata kwa gharama ya damu. Na ndo maana nimekwambia ilivyo dhahabu ndo heshima na thamani ya nchi yako, sasa kama huwezi kulifikilia hilo kwa mapana hutaelewa pia wajibu wako kwa nchi yako iwe leo ama kesho. Haijalishi yupo nani (hai) leo na nani kaondoka, nchi itabaki na thamani yake itabaki pale pale. Kama unabisha nenda kwenye nchi za watu halafu ukaingie kienyeji ndo utajua kwenu wapi. Walikufa wangapi, ni wapi ukasikia Tz ilikufa nayo? Mwl. Nyerere yuko wapi, Mzee Kawawa yuko wapi? A. Jumbe yuko wapi? Hata wewe kesho hutakuwepo ila watabaki wengine na tunataka hata wanaozaliwa leo nao waje waikute Tz na waiheshimu pia kwasababu ni nchi ya mababu zao.




Unapozungumzia suala la nchi unapaswa uzungumzie pia mfumo wa maisha ya binadamu. Binadamu anaweza kuishi bila kuwepo kwa dhahabu...dhahabu inapewa thamani baada ya uwepo wa binadamu. Thamani ya dhahabu itaonekana pale tu binadamu anapopewa hadhi, heshima na thamani yake. Kwa mtazamo wangu, utakuwa ni upuuzi wa kiwango cha juu kuiweka thamani ya dhahabu mbele kuliko thamani ya binadamu. Suala la dhahabu kuibiwa halijaanza leo na mwasisi ni mfumo ule ule.

Uzalendo ni utamaduni unaotengenezwa, unaojengwa na kuimarishwa na mamlaka iliyopo. Utamaduni hautengenezwi na kujengwa majukwaani kwa hotuba na risala au ziara za kushtukiza. Uzalendo hutengenezwa kwa matendo yanayoonekana na kupimika. Tuliona uzalendo kipindi cha kudai uhuru wa Tanganyika, tuliona uzalendo wakati wa vita ya Kagera. Watanzania waliungana kwa sababu mfumo ulikuwa sehemu yao, mamlaka ilikuwa sehemu yao. Watanzania hawakuunganishwa kwa hotuba ndefu na nyingi zenye kuamabtana na vitisho. Jinsi uwatishavyo watu ndivyo uwasambalitishavyo.

Nchi haijengwi na mtu mmoja, inajengwa na mfumo. Mfumo ukiwa imara, ukazingatia utawala wa sheria na demokrasia, mfumo ukawa tayari kupokea nushauri na kukosolewa nchi inaweza kusonga mbele kwa haraka kwa sababu kila mwananchi atajiona ana mchango katika kuendeleza nchi yake, atajiona anathaminiwa na kuheshimiwa mawazo na maoni yake, ataona hata kero zake zinasikilizwa. Huwezi kujenga nchi kwa kutegemea hotuba za upande mmoja tu.
 
Huo upuuzi unafanywa na TBC tu kwa sababu wanapewa ruzuku
hivi wewe umewahi kuacha shughuli yako itakayoingizia kipato kwa ajili ya jirani yako !!!
Hivi vyombo vinajiendesha kibishara siyo maigizo ya bandarini yaliyolenga kuzima fukuto la NAPE ambalo ndo habari inayouza. Angekuwa mjanja angeleta vyeti vya BASHITE tu wala hakuna ambae angeangaika na NAPE heading zote angebeba yeye
 
Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.
Mkuu unatakiwa uangalie TBC. Azam ipo kibiashara zaidi wanachojali kipi kitawaletea watazamaji.
 
Mkuu ungeangalia TBC wali cover habari ya bandari kwa upana zaidi.
 
Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.

Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzito na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.

Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichotokea ni kama mtu kutema mate.

Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
Dua la kuku ,kwani wewe ndie unayejua zaidi kuliko hao Azam na ulivyomnafiki eti Azam itaporomoka sababu ya kutoa muda mwingi kwa upande ulio na chuki nao,nyie manyumbu mna shida sana.
 
Studio wamejenga wenyewe, na vifaa wamenunua wenyewe utawapangiaje? Kwani mliongozana kununua vifaa?
 
Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.

Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzito na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.

Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichotokea ni kama mtu kutema mate.

Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
Hata kuasoma upepo haujui, hizo zilikuwa drama, bandari wapi alienda kutuliza suala LA jamaa ili kwamba magazeti yaandike issue za bandari, hàya wamiliki Wa hizo gari zilizokuwa kwenye kontena wamechukuliwa hatua gani?, eti magari yametoka ujeruman wakati plate number zinawaumbua
 
Yaani kadri siku zinavyokwenda ndo nchi inazidi kujaza wapumbavu. Nilikuwa simwamini sana mwalimu wangu aliponifundisha aina za upumbavu; Upumbavu wa kuna kuwa, upumbavu wa kurithi, upumbavu wa kuiga. Nadhani mleta mada unasumbuliwa na hii aina ya tatu ambayo wengi mnaingia kwa maslahi na kujitoa ufahamu kabisa kwa malipo ya mlo wa siku1.
 
Yale ya bandarini watu wameshtukia ni maigizo acheni kulazimisha watu warushe mpaka maigizo yenu [emoji849][emoji849][emoji849]
 
Yale ya bandarini watu wameshtukia ni maigizo acheni kulazimisha watu warushe mpaka maigizo yenu [emoji849][emoji849][emoji849]
Makontena yamepita mpaka mgodi unakaribia kufungwa ndio wanajifanya kukamata nani hajui mchanga unaendaga siku zote. Nani hajui hatuna uwezo wa kuwa na kinu cha kutenganisha
 
Unapozungumzia suala la nchi unapaswa uzungumzie pia mfumo wa maisha ya binadamu. Binadamu anaweza kuishi bila kuwepo kwa dhahabu...dhahabu inapewa thamani baada ya uwepo wa binadamu. Thamani ya dhahabu itaonekana pale tu binadamu anapopewa hadhi, heshima na thamani yake. Kwa mtazamo wangu, utakuwa ni upuuzi wa kiwango cha juu kuiweka thamani ya dhahabu mbele kuliko thamani ya binadamu. Suala la dhahabu kuibiwa halijaanza leo na mwasisi ni mfumo ule ule.

Uzalendo ni utamaduni unaotengenezwa, unaojengwa na kuimarishwa na mamlaka iliyopo. Utamaduni hautengenezwi na kujengwa majukwaani kwa hotuba na risala au ziara za kushtukiza. Uzalendo hutengenezwa kwa matendo yanayoonekana na kupimika. Tuliona uzalendo kipindi cha kudai uhuru wa Tanganyika, tuliona uzalendo wakati wa vita ya Kagera. Watanzania waliungana kwa sababu mfumo ulikuwa sehemu yao, mamlaka ilikuwa sehemu yao. Watanzania hawakuunganishwa kwa hotuba ndefu na nyingi zenye kuamabtana na vitisho. Jinsi uwatishavyo watu ndivyo uwasambalitishavyo.

Nchi haijengwi na mtu mmoja, inajengwa na mfumo. Mfumo ukiwa imara, ukazingatia utawala wa sheria na demokrasia, mfumo ukawa tayari kupokea nushauri na kukosolewa nchi inaweza kusonga mbele kwa haraka kwa sababu kila mwananchi atajiona ana mchango katika kuendeleza nchi yake, atajiona anathaminiwa na kuheshimiwa mawazo na maoni yake, ataona hata kero zake zinasikilizwa. Huwezi kujenga nchi kwa kutegemea hotuba za upande mmoja tu.
Nchi ilishajengwa mkuu kinachohitajika ni sie watanzania kuwa wazalendo. Siwezi kuelewa kwanini tulilalamikia kukosa uzalendo na nchi yetu kuibiwa enzi za JK na sasa tumempata mtu anayeonekana kusimamia hayo bado huoni ni sehemu ya kuleta uzalendo. Pathetic!
 
Yaani kadri siku zinavyokwenda ndo nchi inazidi kujaza wapumbavu. Nilikuwa simwamini sana mwalimu wangu aliponifundisha aina za upumbavu; Upumbavu wa kuna kuwa, upumbavu wa kurithi, upumbavu wa kuiga. Nadhani mleta mada unasumbuliwa na hii aina ya tatu ambayo wengi mnaingia kwa maslahi na kujitoa ufahamu kabisa kwa malipo ya mlo wa siku1.
Uenda wewe na mwalimu wako nyote mkawa vilaza, kuwa mwalimu inapunguza nini? Na ni mbaya zaidi kama mkafanana akili make unaweza kuja kuwa mpumbavu kuliko mwalimu wako.
 
Back
Top Bottom