chuma cha mjerumani
JF-Expert Member
- Dec 4, 2013
- 12,180
- 25,418
mwaka huu mmeshikwa koo ata maji hamnywi mpka ifike december mtakuwa mmshakusanya virago.
Kawaulize wakwambie, kawaulize yaliyowakuta google China. Kasome alichowahasa JK siku anazindua studio yao aliwahasa nini, na kwanini hawakusema asiwapangie kwasababu ile siyo pesa yake.Kituo chao wenyewe wamewekeza kwa hela zao wenyewe!! wewe ni nani mpaka uwapangie? Wao ndiyo wanajua habari gani iwe ya kwanza na ipi iwe ya pili, umeumia sana fungua kituo chako muonyeshe sizon
je asubuhi hadi jioni!!!
Kwani mkuu kwanini unadhani habari ya Nape haikuwa na umuhimu zaidi ya Magufuli kutembelea bandarini?Unahararisha matumizi rasmi ya "Uhuru" TBC ndo viwe vyombo vya habari za Tz ila hivi vingine viandike andike tu?
Unahararisha umuhimu wa kuviondoa vingine na badala yake kazi ya kuhabarisha umma juu ya masuala ya nchi yao ianze kufanywe na Uhuru na TBC na wengine amtaia wafungiwe ama wakachukue kutoka Uhuru na TBC?
Unamaanisha ile sheria ya kuvibana vingine ilikuwa sawa kwasababu hawako kitaifa zaidi?
Nimesoma lakini sijaona hoja zako mkuu.Nimejaribu kudodosa hapo juu rudia kusoma.
kwani nini, kwa hiyo tukio la jana mtu mpaka anatishiwa maisha unaona ndio liwe la dk 1, zitakuwa zimefyatuka wewe aiseeJana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.
Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzuto na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.
Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichokatokea ni kama mtu kutema mate.
Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
Ungekuwa wewe hushikwi pia msingekuwa mnalia ugumu wa maisha, navyoona wewe na wenzio mnalalamikia maisha kuwa magumu inatosha kuelewa hata nyie kumbe tayari mko kwenye ring, sote tunaguswa ijapo kwa utofauti.mwaka huu mmeshikwa koo ata maji hamnywi mpka ifike december mtakuwa mmshakusanya virago.
kwa taarifa yako sio azam tu, hata itv wameonyesha sana habari ya Nape, maana yake ni kwamba wamechoka na drama za PombeJana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.
Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzuto na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.
Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichokatokea ni kama mtu kutema mate.
Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
Jana nilishtushwa kuona mnashindwa kujua uzito wa habari, kubalansi, kutawaliwa na mihemko zaidi ya kujua umuhimu wa vipaumbele kwa watu na nchi yetu.
Hakuna namna unaweza kunishawishi nikaelewa kwamba ni bora zaidi kuongelea "personality" tena kwa dakika5 kuliko kuongelea namna nchi yetu inavyoliwa na kuibiwa tukio lililokuwa likimhusisha raisi. Kwamba kukamatwa makontena 20 yenye kuhisiwa yanatoroshwa yakibeba dhahabu si habari nzito kwenu. Kwamba Nape ni habari nzuto na muhimu kwenu kuliko mali na utajiri wa nchi yetu.
Lakini pia, hivi unaanza habari gani kwa siku, ya raisi ama ya aliyefukuzwa uwaziri? Tena mlivyo wa hajabu wakati mkitoa dakika 5 na kukaribisha wazungumzaji kwa tukio la mtu, upande wa pili mnatoa dakika1 halafu mnafukia as if anayeongea ni balozi wa nyumba kumi na kilichokatokea ni kama mtu kutema mate.
Yawezekana hao wanaotuibia mali zetu waliwaambia msiwaoneshe sana ili wananchi wasipige kelele dhidi yao na badala yake muonesheni fulani ili wananchi wapige kelele dhidi ya utawala. Kama na nyie mlikubali hili na mkauvaa mkenge basi anzeni kujichunguza kabla, nchi yetu inaliwa na sote tunajua ila nyie hamuoni kama la kuliwa nchi yetu ni hoja. Mnatakiwa kuelewa hao wezi hawamuibii JPM tu, hawamwibii fulani tu, wanatuibia sisi sote na tunapopoteza wakati wenzenu wanapata ni kuihujumu nchi yetu. Ni kuhujumu serikali kwa kile inachojaribu kukifanya katika maendeleo, msivimbe vichwa mkajiona tayari.
nimependa comment yakoKituo chao wenyewe wamewekeza kwa hela zao wenyewe!! wewe ni nani mpaka uwapangie? Wao ndiyo wanajua habari gani iwe ya kwanza na ipi iwe ya pili, umeumia sana fungua kituo chako muonyeshe sizonje asubuhi hadi jioni!!!
Maisha wametishiwa wangapi na bado tuko kitaa sembuse hao ...yeye nani kwani? Dunia hii waliishi wahuni na wajanja hajabu hatari na siku ilivyofika si tu walitishiwa, waliondolewa na leo historia inawakumbuka. Kikubwa ni kwamba nchi zao ziliendelea kuwepo, mtu mmoja asikupe hofu mkuu.kwani nini, kwa hiyo tukio la jana mtu mpaka anatishiwa maisha unaona ndio liwe la dk 1, zitakuwa zimefyatuka wewe aisee
Wangeachaje kwenda protea na wako kwenye orodha? Kawaulize ile orodha vipi?Mimi ningetarajia kuona raisi anawafukuza kazi marc na marpc kote mzigo wa kontena la dhahabu ulimopita, makamishna wa madini wa kanda ile wote weka pembeni, waziri wa madini kama yupo piga chini
Sasa kaenda alivoona kamera za uhuru tbc na habari leo tu ndo zimemfuata nyingine zpo protea na hajatolewa front page ndo kapanic kabisa