Tafakari kabla ya kupost ndugu.
Tabia ya mtu ni jumla ya matendo yake
Imani ziko mbili tu Roman Catholic na Islam. Ila Biblia inasema watatokea manabii wa uwongo na kuhubiri kwa jina la Mungu. Haya makanisa yanayochipuka kila siku yanamchukiza Mungu. Angalia huyo wa Salasala amejenga kanisa kwa structure ya baa tayari kuanza kuwadhulumu wakristu ambao wanafikiri kuna uponyaji. Hayo ndiyo matokeo yake Mungu wetu aliye hai si wa kumfanyia mzaha.
Imani ziko mbili tu Roman Catholic na Islam. Ila Biblia inasema watatokea manabii wa uwongo na kuhubiri kwa jina la Mungu. Haya makanisa yanayochipuka kila siku yanamchukiza Mungu. Angalia huyo wa Salasala amejenga kanisa kwa structure ya baa tayari kuanza kuwadhulumu wakristu ambao wanafikiri kuna uponyaji. Hayo ndiyo matokeo yake Mungu wetu aliye hai si wa kumfanyia mzaha.
Katika Ukristu kama ukishindwa kuwa Mkatoliki basi kuwa KKKT na ukishindwa kabisa Anglican Church. Huu mwingine wote ni uchuro wa wachumia tumbo toka kwa watu frustrated.
Sitoshangaa nikisikia na hili litasemwa ni Radi ya ccm !
Coz now days hata Natural disaster/threats kama mafuriko , earthquake, windstorm , with other geological processes which can coz loss of life au property , itasemwa ni ccm!
Imani ziko mbili tu Roman Catholic na Islam. Ila Biblia inasema watatokea manabii wa uwongo na kuhubiri kwa jina la Mungu. Haya makanisa yanayochipuka kila siku yanamchukiza Mungu. Angalia huyo wa Salasala amejenga kanisa kwa structure ya baa tayari kuanza kuwadhulumu wakristu ambao wanafikiri kuna uponyaji. Hayo ndiyo matokeo yake Mungu wetu aliye hai si wa kumfanyia mzaha.
Nimetafakari ndiyo nikapost. Hayo makànisa uchwara yenu na wachungaji bandià ni miradi ya watu binafsi. Munawadanganya tu watu wasio na msimamo na nyie ndiyo wadhambi wakubwa.
Ni kweli kabisa na ndio wanasababisha vita vya kidini kwa kuwaita waislamu mapepo. Sijui kwa mini serikali inaendelea kusajili madhehebu mapya!Katika Ukristu kama ukishindwa kuwa Mkatoliki basi kuwa KKKT na ukishindwa kabisa Anglican Church. Huu mwingine wote ni uchuro wa wachumia tumbo toka kwa watu frustrated.
Pia wako tayari kuua na kuiba kura ili esendelee kutawala na kuifisidi nchi!Tatizo la CCM iko katika kila aina ya uhalifu kuanzia utekaji nyara, ujambazi, umafia wa kuwatesa, kuwatisha na hata kuwaua wenye mawazo tofauti nanyi, usambazaji na uuzaji wa madawa ya kulevya, kuuza twiga nje, kumaliza tembo, mikataba feki, uporaji wa viwanja hadi nyumba zilizojengwa hata babu wa babu zenu hawajazaliwa na kila aina ya takataka. Kuna lililobaki hapo? Sintashangaa kamwe nikimwona mtu anatilia shaka uhusika wa chama cha kifisadi hicho katika hili pia! Upo?
Imani ziko mbili tu Roman Catholic na Islam. Ila Biblia inasema watatokea manabii wa uwongo na kuhubiri kwa jina la Mungu. Haya makanisa yanayochipuka kila siku yanamchukiza Mungu. Angalia huyo wa Salasala amejenga kanisa kwa structure ya baa tayari kuanza kuwadhulumu wakristu ambao wanafikiri kuna uponyaji. Hayo ndiyo matokeo yake Mungu wetu aliye hai si wa kumfanyia mzaha.
Nimetafakari ndiyo nikapost. Hayo makànisa uchwara yenu na wachungaji bandià ni miradi ya watu binafsi. Munawadanganya tu watu wasio na msimamo na nyie ndiyo wadhambi wakubwa.
Imani ziko mbili tu Roman Catholic na Islam. Ila Biblia inasema watatokea manabii wa uwongo na kuhubiri kwa jina la Mungu. Haya makanisa yanayochipuka kila siku yanamchukiza Mungu. Angalia huyo wa Salasala amejenga kanisa kwa structure ya baa tayari kuanza kuwadhulumu wakristu ambao wanafikiri kuna uponyaji. Hayo ndiyo matokeo yake Mungu wetu aliye hai si wa kumfanyia mzaha.
harafu anasema imani ziko mbili hajui kuwa kuna sehemu hawaamini Christian wala Muslim aseme yeye mwafrika kafikishiwa imani mbili ambazo nazo ni njama za middle east hazina mantiki sana kwa sasa zitapita miaka co mingiStuxnet;
Tuseme ni kutokuelewa au ndo akili yako ilipo kufikisha uelewa wako?? Weye mwenyewe unasema imani zipo 2 Roma na slam, sasa kati ya hizo 2 manabii wa uongo ni wepi hapo?? Hao warumi au hao waislam?? Tulia ufikiri kabla ya jibu.
Makanisa yanayo chipuka hutoka wapi au ni humo humo ndani ya hayo madhehebu yako mawili?? Ama kweli, upofu si lazima uwe wa macho, hata akili hupofuka. Kwa hiyo jengo hilo lililo ungua ndo la kwanza kabisa duniani kuungua?? Mbona mtu kuujua uwezo wake wa kufikiri ni rahisi tu. Muulize ngamia ni nini??
Ni kweli kabisa na ndio wanasababisha vita vya kidini kwa kuwaita waislamu mapepo. Sijui kwa mini serikali inaendelea kusajili madhehebu mapya!
Sitoshangaa nikisikia na hili litasemwa ni Radi ya ccm !
Coz now days hata Natural disaster/threats kama mafuriko , earthquake, windstorm , with other geological processes which can coz loss of life au property , itasemwa ni ccm!
Katika Ukristu kama ukishindwa kuwa Mkatoliki basi kuwa KKKT na ukishindwa kabisa Anglican Church. Huu mwingine wote ni uchuro wa wachumia tumbo toka kwa watu frustrated.