Hivi kwa nini "sure boy"hayupo kwenye Timu ya Taifa?nimeshangazwa na kuachwa kwa Sure boy ,nionavyo Mimi ni mmoja wa holding midfielders wazuri sana kwenye ukanda wetu.wadau wa soka mbona alijazungumziwa hili swala au majeruhi?
Nashangaa TBC hawaonyeshi mpira wa Tanzania vs Zimbabwe,wakati KBC wanaonyesha live mechi Kati ya Kenya vs Comoro.TFF kuweni makini hii ni mechi ya Watanzania wote na kila mtu anapaswa kuona live.Duniani kote mechi za Timu za Taifa zinaonyeshwa kwenye Television za serikali.Tujifunze kwa wenzetu.
Hakuna mke wa bure... 18-Jacob was in love with Rachel and said, Ill work for you seven years in return for your younger daughter Rachel.
19-Laban said, Its better that I give her to you than to some other man. Stay here with me. 20-So Jacob served seven years to get Rachel, but they...
Mlaumu aliyeleta Tasnia ya NDOA...ndio kaleta majanga yote..hit n' run mpango mzima(kumegewa ni Siri ya ndani)aliimba rich mavoko mababu wakakasirika wakambania tuzo za Kilimanjaro
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.