Mama Kamkataa Mchumba Wangu

Mama Kamkataa Mchumba Wangu

mfate chemba b mkubwa mwambie sio wachaga wote wako namna hiyo , pia mwambie mlipotoka ww na huyo baby wako na jarbu kumuelimisha unajua wazee wa zaman wakishakariri kitu wamekariri jaribu kumuelewesha atakuelewa tu ... ila huyo baby kama mnapendana usimwache mpende sana hayo ni majaribu na katika mafanikio lazima utakutana na majaribu pambana kijana upate haki yakoo ..ni hayo tuuu
 
Wengine mna bahati mbaya sana. Mungu aendelee kumbariki sana bimkubwa wangu. Sijawahi kuona mama bora kama mama yangu. Upuuzi wa kumchagulia mwanae mwenza hajapata hata kuuwaza.
Kusema hivo sio kua wazazi au mama anakulazimisha kukuchagulia mke no!! hata mie hakuwahi nichagulia isipokua alinishauli ni mtu gani anafaa na siwezi kukataa ushauri maana APENDAE KIPOFU NA BORA UKOSEE KUJENGA KULIKO UKOSEE KUOA!! na kuhusu mke mchaga binafsi nawaogopa sana na yote ni kutokana na wao kujali sana mali kuliko!! Kusin wangu alipoteza kila kitu kutokana namke mchaga au hujui kisa cha ufoo saro
 
Akili za kupewa changanya na za kwako ila kama kweli nyinyi ni matajiri hao wati ni balaa life span yako haitazidi miaka kumi from nowa pia cheki aina ya huyo demu wako ni mchaga wa wapi akiwa wa machame usithubutu
 
Habari wana JF

J/pili yangu imekuwa mbaya kwa kweli. Nina mpenzi wangu yapata mwaka sasa ila sikuwahi kumtambulisha kwa ndugu yangu yeyote. Mpenzi wangu ni Chagga girl, hivyo basi nikaona nimfanyie Suprise ya kiaina bimkubwa nikamtambulishe amjue mkwe wake.

Nikampigia simu mama alifurahi sana, akaniuliza kabila gani? nikamwambia ni mchaga, nilichoka kwa kweli namnukuu, tena ishia hapohapo na kama mko njiani geuza mlipo toka unatuletea mchaga unataka aje ahamishe mali zote kwao.

Tena sitaki kusikia hizo habari"mwisho wa kumnukuu ila my baby hakusikia chochote nikavunga kwamba bimkubwa hayupo home yupo mbali.

Ushauri please nampenda sana huyu msichana na mama nampenda kuliko maelezo.
Kama kuna dada yako au ndugu yeyote wa karibu hebu shaurianeni na bi mkubwa ili umuoe yeye mana hawezi kuhamisha mali zenu. Usipagawe sawa mkuu, hata kwenu wanawake wapo kwa nini uhangaike na hawa usiowajua tena wezi wa mali za watu?
 
huyo mama yako nae wa ajabua hata kumuona hajamuona,by the way yuko so obsessed na tribalism bila shaka atakuwa ameenda age sana.
 
Sasa waweza kukuta binti
wa watu kwao zimepaki evoques, housemaid wa 3, shopping ya vijiko ni
dubai, sofa leather, home theater system ni alpine e.t.c.
Sasa wewe na mama ako mnavyoviona mali wenzenu vinapatikana servant
quarters! Zaidi zaidi unaweza kufundishwa ku hustle kijana!

daah umenichekesha sanaa wewe, chezea shopping ya vijiko dubaiii! huyo maza ake atakuwa kalishwa sumu hatar
 
Kuwasikiliza Yes, lakini uamuzi unao wewe. Labda useme kama unategemea wakulipie mahari na kukupa kianzio cha maisha lazima uoe chaguo lao badala ya chaguo lako. Vinginevyo Sikiliza lakini waambie umaamua kuoa mchaga kwasababu unaona ndiyo anakufaa kama mke wako na sio mke wa familia au ukoo. Wasikia bwana mdogo.
nimekuelewa mkuu
 
Kama kuna dada yako au ndugu yeyote wa karibu hebu shaurianeni na bi mkubwa ili umuoe yeye mana hawezi kuhamisha mali zenu. Usipagawe sawa mkuu, hata kwenu wanawake wapo kwa nini uhangaike na hawa usiowajua tena wezi wa mali za watu?
mbona unapaniki kama ww ndo muoaji punguza jazba ndugu
 
mfate chemba b mkubwa mwambie sio wachaga wote wako namna hiyo , pia mwambie mlipotoka ww na huyo baby wako na jarbu kumuelimisha unajua wazee wa zaman wakishakariri kitu wamekariri jaribu kumuelewesha atakuelewa tu ... ila huyo baby kama mnapendana usimwache mpende sana hayo ni majaribu na katika mafanikio lazima utakutana na majaribu pambana kijana upate haki yakoo ..ni hayo tuuu
sawa nimekuelewa
 
Kuwasikiliza Yes, lakini uamuzi unao wewe. Labda useme kama unategemea wakulipie mahari na kukupa kianzio cha maisha lazima uoe chaguo lao badala ya chaguo lako. Vinginevyo Sikiliza lakini waambie umaamua kuoa mchaga kwasababu unaona ndiyo anakufaa kama mke wako na sio mke wa familia au ukoo. Wasikia bwana mdogo.
mkuu japo najiweza kumbuka lakini kwenye maisha kuna kuanguka takimbilia wp????
 
unataka kumwoa mama ako ama demu wa kichagggaaa....mwanaume/mwanamke atamwacha mama ake na baba ake nao watakuwa mwili mmoja na kuanza zizi jipya
 
unataka kumwoa mama ako ama demu wa kichagggaaa....mwanaume/mwanamke atamwacha mama ake na baba ake nao watakuwa mwili mmoja na kuanza zizi jipya
acha matuc mwenzio namatus kuliko ww,jiheshim uheshimiwe huna cha kuchangia potezea
 
Umefanya vice versa. Theoretically ndoa au mahusiano ni ya watu 2 lkn practically ni ya familia 2. Kinacjobaki cha watu 2 ni tendo lá ndoa tu.

Huu ndio ukweli wa jamii zetu za kiafrica! Jamaa yuko katika wakati mgumu sana.

Kwa kweli huu ni mtihani kwake.
 
Back
Top Bottom