Naombeni ushauri,namempenda binti mlokole

Naombeni ushauri,namempenda binti mlokole

Mkuu swala la kuokoka sio swala la kuokoka il upate mke,then hata mimi ni muumini na pia nimesimama kwa mungu!

Hata mimi sijakuambia uokoke ili umpate maana watu wanaokoka ili waende kule Yesu Kristo wa Nazarethi amekwenda kuwaandalia makao.

Kama ungekuwa umesimama usinge hangaika na kuandika msg baadala yake unge fanya maombi Mungu akupe wa kufanana nawe,yawezekana ni tamaa za mwili tu zinakusukuma ndo unasema umempenda.Jipime wewe mwenyewe kama leo akakubali hautakula tunda mpaka mfunge ndoa? isije kuwa umekuja jamvini upewe mbinu za kumpata umege halafu uje na uzi nimelala na mlokole

"Nitakutafutia msaidizi wa kufanana na wewe"
 
Kwaniiii yeye ndo hataki kuolewa? Wacha kumuogopa. Go straight to her muambie kilichopo moyoni, utashtuka anaanza kumshukuru Mungu kwa kujibu maombi yake!!!
 
Hata mimi sijakuambia uokoke ili umpate maana watu wanaokoka ili waende kule Yesu Kristo wa Nazarethi amekwenda kuwaandalia makao.

Kama ungekuwa umesimama usinge hangaika na kuandika msg baadala yake unge fanya maombi Mungu akupe wa kufanana nawe,yawezekana ni tamaa za mwili tu zinakusukuma ndo unasema umempenda.Jipime wewe mwenyewe kama leo akakubali hautakula tunda mpaka mfunge ndoa? isije kuwa umekuja jamvini upewe mbinu za kumpata umege halafu uje na uzi nimelala na mlokole

"Nitakutafutia msaidizi wa kufanana na wewe"

Nimekusoma mkuu
 
Kama kweli umeomba, Mungu atamuelekeza pia yeye, huhitaji mbinu za kibinadamu/ki-JF namna ya kuzungumza naye.

If you like something set it free, if it comes it is yours, if it does not come, it was never meant to be!
 
Simple! Mwambie umepokea ujumbe wa Mungu ukiwa usingizini unataka kumfikishia.
 
...hadi nimesahau kutongoza, lol.
Sidhani kama ni lazima wewe kwenda kanisani (kwa lengo la kumpata) , after all wewe haupo kingono zaidi.

Pia, si lazima kujenga urafiki ili kutimiza azma yako ya kuwa nae. Jaribu kumwambia ukweli, muombe siku moja, saa flani mkae sehemu ya wazi kabisa, isiyofichika...ili uweze kumwambia ya moyoni.
 
Watoto wa sikuhizi tab kweli kweli utafikiria anataka kuoa kweli akimvua underpant anasepa sitoi ushauri kama unataka nenda kwao kijichi utoe posa kabisa bila ya kumuambia mkutane Mbele ya baba yake. Acha uhuni kijana mpende mungu wako


Nitasema kweli daima
 
Watoto wa sikuhizi tab kweli kweli utafikiria anataka kuoa kweli akimvua underpant anasepa sitoi ushauri kama unataka nenda kwao kijichi utoe posa kabisa bila ya kumuambia mkutane Mbele ya baba yake. Acha uhuni kijana mpende mungu wako


Nitasema kweli daima

Sawa mkuu
 
Kumpata binti aliyeshikilia Imani inakuwa ngumu sana,cha kufanya usiwe na haraka ya kumpata kimapenzi.

Anza kwa kumpata kiroho kwanza na muaminishe kuwa huna nia mbaya nae.Ikiwezekana mfatane kila anapoenda ibada na sala za jioni muwe wote.

Kama mnasoma darasa moja jaribu kuwa unafanya naye discussion na hata muda wa msosi basi muwe wote.

Taratibu anza kumsoma hisia zake kama kweli anaingilika na anaweza kuwa katika mahusiano,kama utaona yupo tayari basi mwaga verses za maana zenye malengo na sio zile, oohh kwetu tuna pesa blah blah kibao weka pembeni.Na kama haingiliki basi jombaa chapa lapa usije hadhirika maana atakukataa na urafiki wenu ndo utakuwa mwisho.

Kweli shetani ana njia nyingi za kushawishi na kuteka watu.

Yaani aanze kwanza kumteka kiroho na kumwaminisha!lol
 
ongea kwanza na Mungu, kisha Mungu ataenda mpelekea ujumbe wake, pindi binti atakapoomba Mungu ampe Mume mwema, namaanisha ingia nkiroho, kinyume na hapo subiria ukemewe kama kashetani kadogo kadogo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom