Vipi anakutesa? Tumia pesa!

Vipi anakutesa? Tumia pesa!

Blaza kama vipi wewe tulia tu..fanya mengine...sio lazima ufanikiwe katika kila kitu maishani...!!
 
Kiukweli unaweza ukawa na mwanaume unampenda na ata huwazii pesa kutoka kwake ila akawa anakuletea jeuri..kwa style hii niliapa sipendi tena..ila pesa kwanza mapenzi baadae.!Good girl gone bad

Mmmhhh..maweeee. Yesu wangu.!!!
 
Kazi kweli kweli.

Kuna jamaa yangu alikuwa ni mtu wa kubadili sana mabinti, kiukweli jamaa alikuwa anachukua mabinti wakali sana(wazuri) kwa kale katabia kake kakanifanya nitake kujua nini siri ya yeye kumilikini mabinti wazuri, ujana kweli unamambo mengi kila ukionacho wataka kujua, wakati huo nilikuwa katika mahusiano na binti fulani lakini penzi letu kila kukicha vibwanga, maumivu, vituko, lawama,migogoro, ndiyo yalikuwa sehemu ya maisha yetu basi.


Hivyo ilinipelekea kujiona kama kunakitu kinapungua katika mahusiano yetu, kila nilipokuwa naangalia kwa jamaa yangu jinsi anavyotoka na mabinti warembo sikuwahi kusikia akinisimlia wala kunipa lawama za mahusiano kama nilivyokuwa nikimhadithia, nikaanza kutaka kujua mbona iko hivyo kwangu, katika hizo harakati zangu za kumpeleleza kuna maswali kadhaa aliniuliza kutaka kujua chanzo cha kuumizwa na mapenzi basi katika majibu yangu ilionekana kwamba nina mkono wa birika( ubahili), akanimbia kitu kimoja kwamba mwanamke siku zote natakuthamini na kukuona wa maana kama unakitu, ndiyo maana unaona kwangu wanajipanga na kushoboka japo sio mzuri wa sura, ila pesa inanifanya niitwe handsome.

Akaniambia raha ya baby;
(1)Azawadiwe vinono
(2)Asuguliwe mgongo
(3)Mabusu sio kipigo
(4)Kisha tumia pesa.


Ilinichukua muda sana kuamini alichoniambia kwa kuwa nilikuwa naamini katika mapenzi ya kweli pesa sio kitu, na haina nafasi kusimamia mapenzi ili yawepo, kumbe nilikuwa na waza kinyume baada ya kudungua kwamba yule binti niliekuwa nae japo alikuwa anaonekana mwenye upendo kwangu lakini kuna kitu alikosa(pesa) hivyo ikamfanya atafute mtu wa kumwezesha pembeni.



Hatima ya mahusiano yale ikawa kuachana, nikasema ngoja aende kwa vile nilishaijua kununi yahawa watoto wazuri nikutumia pesa, sio shida sana nitampata mwingine nitatumia pesa, nikachukua muda kukaa alone huku nikiendelea kumfuatilia alichokua anakifanya yule jamaa yangu ndiyo siri ya kumiliki mabinti wazuri na kutokuumizwa na mapenzi, muda mwigi jamaa alipokuwa akienda kwenye mihadi yake nilikuwa naongoza nae tu, huko nilikuwa naishia kuitwa shemeji na wale watoto warembo na kunifisia kwa jamaa yangu kwamba rafiki yako mpole mara "Oooohhh ni hb" lol nilikuwa nachukia kimoyo moyo.


Ukafika muda wa kufanya maamuzi baada ya kuchoshwa na upweke na kuitwa shemeji, nikawa nimempata binti mmoja mzuri, nikarudi kutumia ile kanuni nikiamini hapa sitaumia tena, safari ya mapenzi ikanzia hapo nikawamtoaji mzuri sana nisiende kinyume na kanuni kila akitakacho binti nikawanamnunulia nguo,simu na vitu vingine sio tabu tena kwangu ikawa nikawaida tu kugharamia. Sipati kusimlia wala kuvimaliza vyote nilivyo toa.


Kizaza kukaja siku moja wakati nimelala na yule binti usiku, ilikuwa yapata saa nane usiku kwa vile yeye alikuwa amechoka na alikuwa ndani ya usingizi mzito sanaa, nikasema ngoja nichukue simu yake nianze kuchunguza, maana sikuwa nakawaida ya kumkagua kagua simu yake, nilichokikuta sikuamini usiku ule massage za wanaume tofauti tofauti kibao nyingine za mizinga, kualikana mitoko ni wazi sikuwa mwenyewe yani nitabu kiukweli nilishikwa na pressure ghafla hasira zikanijaa amani ikatoweka usiku ule, ugomvi ukazuka kati yetu baada kumuuliza, nilimbana akakili kosa, kutokana na hasira nilibamiza ile simu ukutani ikawa nyang'anyang'a nikampa makofi kadhaa na mapenzi yetu yakaishia usiku huo huo...


Mpaka leo najiuliza nini siri ya mapenzi ya kweli na kumfanya binti akupende??

Mwenye mapenzi ya kweli anatawaliwa na tamaa ya pesa.

Unaempatia pesa anatamani kuwa na wanaume wengi zaidi yako watakao mpatia pesa.

Au ukimpenda mtu basi usimchunguze ndiyo inaweza kuwa siri ya mapenzi????

Dem akikupenda kakupenda tu...Kuna watu wanakula madem wakali mbayaaa na unakuta mtu hana hata 100 mfukoni. Its confusing at tyms hata mimi nashindwaga kuelewa inakua kua vp. On my side mi sio mtoaji sanaa hela kwa wanawake ila sumtyms najikuta tu nampa cz i feel like atakua anahitaji kwa mahitaji yake madogo madogo. uki date madem wa uchwara its very possible ukapigwa vizinga daily (i hate such women).
 
Binafsi naamini katika kufanya yako na kujitengeneza namna kufanya mambo. Wewe unatafuta role model kwa mambo ya mapenzi!!! Umemuona mwenzio kwa nje anabadili wanawake wazuri ukaona thats what I want too.

Kwanza ulipaswa kufahamu kuwa maisha ya mtu ni siri yake. Sio kila mtu anayecheka ana furaha, mioyo ya watu inaficha vitu vingi. Ungemuuliza anatafuta nini kwa wanawake? Huwezi jua, labda mwenzio anachotaka ni wanawake wa kupiga nao bakora ili washamba washangae.

Mwanamke atakayekupenda kwa sababu umempa Rav 4 Kesho akipewa Range Rover ndio umekwisha tena. Take your time na ukimpata umtunze sio hata kadi ya birthday humnunulii.
 
Binafsi naamini katika kufanya yako na kujitengeneza namna kufanya mambo. Wewe unatafuta role model kwa mambo ya mapenzi!!! Umemuona mwenzio kwa nje anabadili wanawake wazuri ukaona thats what I want too.

Kwanza ulipaswa kufahamu kuwa maisha ya mtu ni siri yake. Sio kila mtu anayecheka ana furaha, mioyo ya watu inaficha vitu vingi. Ungemuuliza anatafuta nini kwa wanawake? Huwezi jua, labda mwenzio anachotaka ni wanawake wa kupiga nao bakora ili washamba washangae.

Mwanamke atakayekupenda kwa sababu umempa Rav 4 Kesho akipewa Range Rover ndio umekwisha tena. Take your time na ukimpata umtunze sio hata kadi ya birthday humnunulii.

Muda pekee wa kuangalia mambo na kujifunza ni wakati wa ujana ndiyo maana sikuona shida ya mie kutaka kujua kinachopelekea jamaa kufanya alichokuwa akikifanya.

Vile vile mapenzi ya sasa yako sambamba na pesa havitengamani.
 
Dem akikupenda kakupenda tu...Kuna watu wanakula madem wakali mbayaaa na unakuta mtu hana hata 100 mfukoni. Its confusing at tyms hata mimi nashindwaga kuelewa inakua kua vp. On my side mi sio mtoaji sanaa hela kwa wanawake ila sumtyms najikuta tu nampa cz i feel like atakua anahitaji kwa mahitaji yake madogo madogo. uki date madem wa uchwara its very possible ukapigwa vizinga daily (i hate such women).

Eti! Umesema anakula madem wakali hana hata 100 ? mmmhhh labda wakali sio kwa maana ya wazuri.
 
Kiukweli unaweza ukawa na mwanaume unampenda na ata huwazii pesa kutoka kwake ila akawa anakuletea jeuri..kwa style hii niliapa sipendi tena..ila pesa kwanza mapenzi baadae.!Good girl gone bad

Good girl gone bad,,,aiseee upendo umeupeleka wapi?
 
Asnam its long time buddy. Ulipotea saana. Welcome back

Hili zimwi ni nini lakini? maana hatulili tukalimaliza.
moyo ndo kila kitu,ukikuongoza kwenye pesa basi ukiona wallet mapenzi yanafufuka,ukikuongoza kwingine ndo hivyo tena....mapenzi hayana formula
 
Last edited by a moderator:
Dem akikupenda kakupenda tu...Kuna watu wanakula madem wakali mbayaaa na unakuta mtu hana hata 100 mfukoni. Its confusing at tyms hata mimi nashindwaga kuelewa inakua kua vp. On my side mi sio mtoaji sanaa hela kwa wanawake ila sumtyms najikuta tu nampa cz i feel like atakua anahitaji kwa mahitaji yake madogo madogo. uki date madem wa uchwara its very possible ukapigwa vizinga daily (i hate such women).

ukiona hivo ujue anafikishwa vizuri kunako 6x6 na huyo jamaa ,.... Hakuna kingine zaidi ya hicho ... Hakuna mapenzi hapo
 
Pesa ni muhimu itahusika direct n indirect way
Mkuu Phlagiey tambua bila pesa kuna mambo yatakubana kuonyesha upendo wako kwa umpendae
Mfano kumtoa out...kumjali pale alipo na shida...kupiga simu unatumia vocha ...vizawadi nk

Pamoja na pesa kutawala ni kama pilau bila kachumari hainogi lazima uweke matawi ya upendo, kumheshimu gal wako, kujituma as man, kuwa decision maker, know ur responsibility

Most of women wanakwenda na tukio mda akitaka pesa apate...mda akitaka upendo apate na sio vice versa yake

Aha, kwa hiyo mapenzi na pesa ni kama suruali na mkanda?
 
Last edited by a moderator:
Hawatabiriki hawa viumbe, na ndio madhara ya kupenda usipopendwa kwa dhati ila unapendwa kwa sababu flan flan
 
kuna wale wa dizan ya sasa ivi anajifanya hataki pesa zako sometime ni kweli hakuombi ila nimegundua just being with u mwenye ela zako kwake ni security na its just a matter of time kabla hajaanza kukutoa mshiko tena ktk format sio ya kuomba direct kwa mfano anaweza anza ongelea anapenda kitu flan au zawadi flan etc ambacho ameshakupima una uwezo nacho meaning ungekua kapuku asingekuomba hence asingekua na wewe generally speaking you got to have money to get ladies the more money the more chance of getting them hata kama initially atajifanya mi staki pesa zako ni mapenz ya kweli tu nataka mbona kama ni mapenz ya kweli humpendi kapuku????
 
Kwa ulimwengu wa leo..vyote vinaenda...Mapenzi, pesa.....Maisha yamekuwa magumu sana...Ukiwa una do huku huna kitu mfukoni, hujui utakula nini, unadaiwa kodi, yaani hisia za mapenzi zinapotea kabisa....Unaweza do lakini usifikie kileleni...Ila ukiwa una do wkt ukiwa na uhakika wa kuishi mbona mambo mwake mwake...Utabinjuka hadi kuche style zote utaweka....
 
Back
Top Bottom