Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

Kinana anakiri udhaifu wa kiutendaji serikalini bila kueleza suluhisho lake, anatubu lakini hasemi kama dhambi ataacha. so no solution, hoja za ccm hovyooo kabisa
 
Kinana anasikitisha jamani, hivi hana washauri au aliiajacha familia yake Somalia?
 
Na declare interest mie sio mfuasi wa chama chochote tanzania ila kwa maneno haya ya nape ni kweli ccm wamedhamilia kuwamaliza kabisa ukawa na hizi zinaitwa siasa za maji taka, kwa sababu ukishatoa maneno ambayo yatazua mafarakano kati ya dr slaa, mbatia, mboye, katibu mkuu wa nccr mageuzi na prof. lipumbana, unataka nn zadi ya hapo? mbali zaidi ni kutaka kumuondoa lissu kwenye kiti cha ubunge mwakani
 
Kinana hajaongea lolote la maana , kama lipo iwekwe hapa na Gambas.....
 
Singida wamejielewa sana,mana wameondoka uwanjani wote wakabaki wale walioletwa kutoka ikungi,mtipa,ilongero,kijota na mtingo,hawa masikini wanategemea kurudishwa hawana pa kwenda!hongereni singida kwa kutaa kushudia viongozi wa chadema kutukanwa mkaona muondoke.
 
Nape anasema wazi kuwa jimboni kwa lisu ni hovyo hakuna maendeleo hata nusu lisu ni mzigo kwa wanasingida.

Lisu ni mzee wa kubwabwaja tu na kuimarisha CHAGADEMA tu jimboni kwake wala hapamuhusu.next year sijui ataanzaje kuomba kura.
 
Singida wamejielewa sana,mana wameondoka uwanjani wote wakabaki wale walioletwa kutoka ikungi,mtipa,ilongero,kijota na mtingo,hawa masikini wanategemea kurudishwa hawana pa kwenda!hongereni singida kwa kutaa kushudia viongozi wa chadema kutukanwa mkaona muondoke.

hivi singida kuna wabunge wangapi wa chadema?
 
Lisu ni mzee wa kubwabwaja tu na kuimarisha CHAGADEMA tu jimboni kwake wala hapamuhusu.next year sijui ataanzaje kuomba kura.

Jamani toka asubui tunaomba mtupe hoja walizomwaga mabwana zetu,mbona inakuwa ivo sasa
 
CCM wamepwaya sana
nape ametoa matusi mwanzao mwisho,wao ccm wanaomuenzi mwalimu Nyerere watuonyeshe lilipo AZIMIO LA ARUSHA
na watuonyeshe yalipo mashirika ya UMMA benki ya NBC shirika la reli namengine mengi na shule za umma
 
Ccm aibu Sana unatoa msaada wa fedha kwenye mikutano ha ha aibu Sana
 
Kinana ameshakua presidential material,akiongea unaona wazi kabisa watu wanatega sikio kunasa kila neno analotamka.
 
saa 12 na dakika13 bado wako mkutanoni, na polisi wapo tu mkutanoni, ingekuwa UKAWA polisi washaanza kurusha risasi eti muda umeisha, waone!!
 
Back
Top Bottom