The same situation napitia sasa ,nina manzi wa ananielewa sana na mimi namuelewa sana,anataka nimuoe ata kesho ila yeye bado ajamaliza chuo mi nimeshamaliza ka degree kangu sema vyuma bado vimekaza sana kwa upande wangu
Acha kumdanganya mwenzio,kuna waliosoma iyo course na mkopo wamekosa na pia haikuanza mwaka jna maana kuna watu tunagraduate nao mwaka huu labda kama ni chuo kingine na sio mzumbe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.