Masiya
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 7,602
- 7,343
Kwa hiyo mna mshauri naye awe jizi?Hakuna tofauti yeyote serikali ni ile ile tuu ya majizi.
Kwa hiyo mna mshauri naye awe jizi?Hakuna tofauti yeyote serikali ni ile ile tuu ya majizi.
Hii ishu ilishawah nitokea mm mwaka jana ..........hapo kuna mwanafunz mwenzako pesa zake zimekuja kwako so its better ukatoa taarifa mapema kwa wahasibu wa chuo chako....mana huyo mwanafunz akienda ku state loan board mkopo wako utakuwa suspendedHabari zenu great thinkers! Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza Mwaka wa masomo 2017/2018. Wiki mbili zilizopita tuliopata mkopo batch ya pili tuliambiwa tukasign ili tuweze kupewa fedha zetu. Tulisign na pesa zikaingizwa kwenye account zetu. Sasa juzi batch ya tatu wamepewa fedha zao na mimi kwenye account yangu fedha zikaingia tena kwa mara ya pili. Kwa kawaida inatakiwa niwe napewa laki tano tu kila semester Kutokana na asilimia ya mkopo wangu. Nachotaka kujua inakuaje hapo kwenye hizo fedha za mara ya pili ntadaiwa au? Nawasilisha!![]()
Hata mm ishawah nitokea mkuu....dogo alienda ku state loan board then boom lililofuata sikupata hata dalaUsijidanganye imeshawai nitokea boom lijalo hutokuta ata mia maana nilijifanya mjanja kutoa yote ila badae nilijuta
Habari zenu great thinkers! Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza Mwaka wa masomo 2017/2018. Wiki mbili zilizopita tuliopata mkopo batch ya pili tuliambiwa tukasign ili tuweze kupewa fedha zetu. Tulisign na pesa zikaingizwa kwenye account zetu. Sasa juzi batch ya tatu wamepewa fedha zao na mimi kwenye account yangu fedha zikaingia tena kwa mara ya pili. Kwa kawaida inatakiwa niwe napewa laki tano tu kila semester Kutokana na asilimia ya mkopo wangu. Nachotaka kujua inakuaje hapo kwenye hizo fedha za mara ya pili ntadaiwa au? Nawasilisha!![]()
dogo i doubt kama hio hela imeingia twiceHabari zenu great thinkers! Mimi ni mwanafunzi wa chuo mwaka wa kwanza Mwaka wa masomo 2017/2018. Wiki mbili zilizopita tuliopata mkopo batch ya pili tuliambiwa tukasign ili tuweze kupewa fedha zetu. Tulisign na pesa zikaingizwa kwenye account zetu. Sasa juzi batch ya tatu wamepewa fedha zao na mimi kwenye account yangu fedha zikaingia tena kwa mara ya pili. Kwa kawaida inatakiwa niwe napewa laki tano tu kila semester Kutokana na asilimia ya mkopo wangu. Nachotaka kujua inakuaje hapo kwenye hizo fedha za mara ya pili ntadaiwa au? Nawasilisha!![]()
VP bwana ngurooHakuna tofauti yeyote serikali ni ile ile tuu ya majizi.