MBITIYAZA
JF-Expert Member
- Jan 22, 2017
- 14,947
- 26,082
Hii ni kwa upande wangu binafsi mkuu no way I can trust a woman
ohh
Hii ni kwa upande wangu binafsi mkuu no way I can trust a woman
ukikubali hali halisi haitakusumbua kamweKweli lakini itanichukua muda .
KamtekeSijawahi kutegemea kama ipo siku ningefanyiwa suprise kama hii inshort is hurt inauma sana.
Asee kuna msichana fulani nilikuwa na mahusiano naye nilimpenda sana ila ndo hivyo kigeto geto si mnajua maisha yalivyo.
Alafu msichana ndio kwanza alikuwa kidato cha sita basi mipango kibao akimaliza pepa tu mwenyewe anataka nichukue jiko nimuweke ndani ila kikwazo ilikuwa mimi bhana ukicheki nilikuwa sijaseti mipango yangu fresh.
Basi mzee mwenyewe msichana alivyomaliza pepa alikuwa anasimamia msimamo wake eti nimuoe basi mtoto wa kiume nilikuwa nampa sound tu atulie tulie niweke mambo sawa maana usawa wenyewe wa magu uuh isije siku tukalala njaa na ukicheki ata hela ya posa yenyewe sina.
Basi dogo alionyesha kama kukubali flani hivi zile sound zangu kumbe moyoni ana yake .
Da ile Juzi kati sasa kidume nimeingia facebook niperuzi kidogo nikakuta mtoto kapost picha akiwa na shela juu alafu stutus za kumshukuru Mungu kwa sana kwa kupata mume.
Kiukweli nilistuka niliona labda ni utani ile kumpandia hewani si akaniambia ndio yuko fungate na bwana yake so nisimsumbue tena nimuache na ndoa yake.
Nimeumia sana na siyo kwamba sikuwa na malengo nae ila usawa ndio ulikuwa unakaba ningekuwa na pesa basi ningemuoa kipenzi changu ameniacha na maumivu ya moyo.
Ni bora angesema kuliko kunifanyia suprise kama hiyo, suprise ya kuniumizia moyo wangu, suprise iliyoijaza machozi machoni pangu hakika ni maumivu yasiyovumilika.
Lakini mwisho wa yote namtakia ndoa njema yenye amani lakini akae akijua kwamba kila tone la chozi langu limejaa maumivu makali sana yanayotoka moyoni.
....... itanichukua muda kusahau.

Na mimi nimo bwana....hatimaye umeamua kutusemea wanandoa
LINAKHERI NA WWpole!usikimbilie kuoa ! yaan hujajipanga afu unataka uwah kuoa ili iweje?? LIKUEPUKALO...
The same situation napitia sasa ,nina manzi wa ananielewa sana na mimi namuelewa sana,anataka nimuoe ata kesho ila yeye bado ajamaliza chuo mi nimeshamaliza ka degree kangu sema vyuma bado vimekaza sana kwa upande wangu
Vyuma vimekaza hadi waoaji wanaogopa! Ila pole,kafurahia shela atakutafuta siku akwambie amekumicSijawahi kutegemea kama ipo siku ningefanyiwa suprise kama hii inshort is hurt inauma sana.
Asee kuna msichana fulani nilikuwa na mahusiano naye nilimpenda sana ila ndo hivyo kigeto geto si mnajua maisha yalivyo.
Alafu msichana ndio kwanza alikuwa kidato cha sita basi mipango kibao akimaliza pepa tu mwenyewe anataka nichukue jiko nimuweke ndani ila kikwazo ilikuwa mimi bhana ukicheki nilikuwa sijaseti mipango yangu fresh.
Basi mzee mwenyewe msichana alivyomaliza pepa alikuwa anasimamia msimamo wake eti nimuoe basi mtoto wa kiume nilikuwa nampa sound tu atulie tulie niweke mambo sawa maana usawa wenyewe wa magu uuh isije siku tukalala njaa na ukicheki ata hela ya posa yenyewe sina.
Basi dogo alionyesha kama kukubali flani hivi zile sound zangu kumbe moyoni ana yake .
Da ile Juzi kati sasa kidume nimeingia facebook niperuzi kidogo nikakuta mtoto kapost picha akiwa na shela juu alafu stutus za kumshukuru Mungu kwa sana kwa kupata mume.
Kiukweli nilistuka niliona labda ni utani ile kumpandia hewani si akaniambia ndio yuko fungate na bwana yake so nisimsumbue tena nimuache na ndoa yake.
Nimeumia sana na siyo kwamba sikuwa na malengo nae ila usawa ndio ulikuwa unakaba ningekuwa na pesa basi ningemuoa kipenzi changu ameniacha na maumivu ya moyo.
Ni bora angesema kuliko kunifanyia suprise kama hiyo, suprise ya kuniumizia moyo wangu, suprise iliyoijaza machozi machoni pangu hakika ni maumivu yasiyovumilika.
Lakini mwisho wa yote namtakia ndoa njema yenye amani lakini akae akijua kwamba kila tone la chozi langu limejaa maumivu makali sana yanayotoka moyoni.
....... itanichukua muda kusahau.