Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,271
- 96,398
Milioni 10 ili niibomoe nimpe matofali, mahari, madirisha na milango yake afu nijenge banda langu mwenyewehahahaha we ungenunua kwa bei ngapi?
Milioni 10 ili niibomoe nimpe matofali, mahari, madirisha na milango yake afu nijenge banda langu mwenyewehahahaha we ungenunua kwa bei ngapi?
tatizo ni kuamshwa saa kumimh misikiti ipo kila mahali na tunaishi ............tatizo nini kwa upande wako?
0718869705 nipigieNyumba inauzwa inavyumba sita ipo mtoni mtongani mtaa wa msikiti mweupe M 58
huo ni uvivu na chuki kwa dini za wengine ...ile mida ndo ya kuamka unalala mpaka saa 4 kwa raha gani hasatatizo ni kuamshwa saa kumi
Ulivunja miadi nasubiri hadi leoSame there. Mwaka jana umenitenga wewe
Mambo yalikuwa mengi na ya kushtukiza... yani ikawa balaa mazimaUlivunja miadi nasubiri hadi leo
Haya tuanze upyaMambo yalikuwa mengi na ya kushtukiza... yani ikawa balaa mazima
Hiyo kweli nyumba ya kuuza 58m hasa kwa wakati huu.nyumba Hiyo tena iko mtoni tena karibu na msikiti maana hakuna utulivu ukiuza bei nzuri 20mNyumba inauzwa inavyumba sita ipo mtoni mtongani mtaa wa msikiti mweupe M 58
Tena 20m ni bei ya juu sana lakini bei halisi ya hiyo house 15 to 18mHiyo kweli nyumba ya kuuza 58m hasa kwa wakati huu.nyumba Hiyo tena iko mtoni tena karibu na msikiti maana hakuna utulivu ukiuza bei nzuri 20m
Mambo yalikuwa mengi na ya kushtukiza... yani ikawa balaa mazima
...huu upunzi wenu pelekeni jukwaa la mapenzi...hapa tunazungumzia uuzwaji wa nyumba kenge nyieUlivunja miadi nasubiri hadi leo
huo ndio muda wa wanaume kuamkatatizo ni kuamshwa saa kumi
Wee jamaa falaa sanaaaa...mimi nataka kumnunua huyo kuku hapo taja bei
Wewe ni shoga?...huu upunzi wenu pelekeni jukwaa la mapenzi...hapa tunazungumzia uuzwaji wa nyumba kenge nyie
Anza wewe mimi ntamaliza....Haya tuanze upya
Duuu!!!Swali gani hili sasa??Hii ni nyumba?