alipotoka Nganza , aliletwa Kwiro Mahenge, alituletea zawadi ya magunia ya Dagaa ! Alikua mkali sana , alitisha kama Simba . Alikua mcheza volleyball wa aina yake. . . . Magambo alipokuja Kwiro ndo akapachikwa jina la Mbwiko .
Mmenikumbusha mbali na hayo majina.
Nilikua Kwiro secondari, headmaster wetu aliitwa Antony Magambo, sie tulimwita Mbwiko, mpaka leo sijui maana yake! Alikua mkali kama pilipili, hakua na kosa dogo , ni bakora kwakwenda mbele. Alitunyosha hakika. . . . Mungu ampe maisha marefu popote alipo.
Kikwete Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tz, ni masiha wa wapuuzi, wapotovu, na watu wenye mawazo yenye matege.
huyo labda ni masiha wa Kifo, na maangamizo.
Nilikuwa naangalia mitandao mbalimbali ya magari ambayo wanaleta magari used hapa Tanzania. Bahati nikapata mtandao ambao umenivutia, una magari yanayoonekana ni mazuri kwa picha, lakini kwa kuwa uelewa wangu juu ya biashara hii ya magari ni mdogo, naomba wenye ufahamu mnisaidie.
Je, Toyota Opa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.