nguvumali
JF-Expert Member
- Sep 3, 2009
- 4,923
- 1,325
UWT tayari tumeshatengeneza mkakati wetu wa kuhakikisha wanawake wengi zaidi wanajitokeza kugombea kwenye majimbo. Majimbo siyo ya wanaume, majimbo ni yetu sote kwa hiyo kuna ziara tumeshajipanga. Tutazunguka nchi nzima kuhakikisha wanawake wanajitokeza kugombea kwenye majimbo.
Tutahakikisha wanakwenda kupiga kura na kuhamasisha wanawake kuipigia kura CCM. Kwa hiyo tunakwenda kupiga ndege watatu kwa jiwe moja
ukisoma kwa makini utagundua kuwa Sophia na wanawake wenzie pale UWT HIVI KARIBUNI WATAANZA KA KAMPENI YA KUWAHASISHA WANAWAKE KUCHAGUA CCM ......na hili litatekelezwa nnje ya muda wa kampeni maana ziara yao itakua na lengo la kuwatia moyo kinamama wa CCM kujitokeza kugombea nafasi katika uchaguzi mkuu ujao, na wakienda huko wataua ndege watatu kwa jiwe moja....swali Sophia na UWT wanajiandaa kuvunja sheria ya Tume ya Uchaguzi kuzuia kampeni nnje ya muda wa kampeni ? maana kuhamasisha wanawake waichague CCM KABLA YA MUDA NI kinyime cha sheria.