ccm ndo tunasema huo ni wivu sasa mbona bilion 1 kwa nyumba (PRESIDENTIAL BUILDING) kawaida saana sioni tatizo kwa hili bwana!inasemekana riz1 alinunua nyumba ya thamani ya tsh bilioni moja (1,000,000,000/=) maeneo ya masaki,
swali: Ana mradi gani wa kupata hela hizi zote? Au ndo maana familia nzima inapambana kurudi ikulu?. Mwenye huakika atujulishe.
ccm ndo tunasema huo ni wivu sasa mbona bilion 1 kwa nyumba (PRESIDENTIAL BUILDING) kawaida saana sioni tatizo kwa hili bwana!
Hiyo ndo serikali yako sasa hata ukatae maisha ndo yanavyoenda ndo maana tunasema tunataka mabadiliko.Kwa mafisadi hiyo ni kawaida. Kafanya kazi gani, kwa muda gani, kuweza kulimbikiza pesa hizi? TRA amelipa shilingi ngapi kama kodi ya mapato? Kweli naanza kuamini kuwa kuna wa TZ wasioona mbele ya pua zao!
ccm ndo tunasema huo ni wivu sasa mbona bilion 1 kwa nyumba (PRESIDENTIAL BUILDING) kawaida saana sioni tatizo kwa hili bwana!
ccm ndo tunasema huo ni wivu sasa mbona bilion 1 kwa nyumba (PRESIDENTIAL BUILDING) kawaida saana sioni tatizo kwa hili bwana!
kawaida kama MAMA anatumi tufedha kidogo kwenye safari kama tumilion 22 tu, muulize Kinana! iweje kwa ajili ya Nyumba bwana!!Eeh! we ni mtanzania wa kawaida kweli? Kweli mwenye aliyeshiba hamjui mwenye njaa, Bil. 1 ni kawaida saana? mmh!
Inasemekana Riz1 alinunua nyumba ya thamani ya Tsh bilioni moja (1,000,000,000/=) maeneo ya masaki,
Swali: Ana mradi gani wa kupata hela hizi zote? au ndo maana familia nzima inapambana kurudi Ikulu?. Mwenye huakika atujulishe.
ccm ndo tunasema huo ni wivu sasa mbona bilion 1 kwa nyumba (PRESIDENTIAL BUILDING) kawaida saana sioni tatizo kwa hili bwana!