NIPOKEENI, MGENI LICHA SINA KAMBA!
(Juzi) majira ya saa 1:30 nimekaa kando ya redio yangu, nasikiliza Kipindi cha spoti cha Radio One Stereo, taarifa ya kispoti inatoka pemba kwamba, timu ya Miembeni inapania kuishtaki Mundu ZFA kwa kile inachokiamini kuwa imechezesha wageni wengi kuliko...