Laurence
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 3,104
- 420
Hii ya kuachia nyadhifa haitoshi baada ya hapa inabidi akamatwe awekwe ndani na kufunguliwa mashataka mana makosa yake yapo wazi,chama gani hiki kimejaa Mijizi tuu,hivi nyie mnaoshabikia hiki hamuoni haya au tu kwa vile chama cha Magamba kinawaweka mjini? hebu kuweni tujadilipo mambo yenye manufaa kwa waTz