Dah , ina maana hawa wote walikuwaga mabosi kwenye mabenki ya nchini ??? Alokuwa ananiwinda alikuwa Banker pia - KCB na benki nyingine International , akaona QNET kaaacha kazi .
Hata siku moja hawakubali, wamenitafuta zaidi ya mwaka na nusu , Mara kopa tu hela utazipata ndani ya miezi 3. Na wanatumia mbinu nyingi sana sana wanawake kama chambo!
Habari za leo wajameni. Hivi kuna njia ya kujua mmiliki wa gari fulani kwa kutumia namba ya gari ? Najua nchi zingine unaweza kufanya hivyo online. Huku kwetu vipi ?
Guys from sinza mori kuelekea johannesberg hotel ni kona yako ya kwanza kulia kuelekea lion hotel ni tha first bar on your left hand inaitwa mseri mfikaji wa kwanza atakaye fika na kuonesha hii msg atapata kitita cha poshen moja ya chicken drums au kw jina lingine chicken lolly pop
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.