Habari wakuu. Moja kati ya vifaranga wangu anatatizo ambalo sijawahi kulisikia wala kuliona. Anajikunja na kuficha kichwa chake chini ya miguu. Leo ni siku ya pili, hali wala kunywa. Nimempiga picha lakini nimeshindwa kuzituma huku, sina uzoefu sana. Naomba msaada kwa anayelijua tatizo na namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.