Tafadhali jamani Nina Mgonjwa hapa hospital ya My.Gaspary Itigi - singida amepewa Referral kwenda muhimbili naomba kuunganishwa sasa hivi na anayehusika na Ndege za kukodi.
Ndugu zangu kila siku natafuta kitu cha kufanya ili niongeze kopato nilikuwa nakwama kutokana na mazingira niliyopo, nimetamani kwenda chuo kuchukua degree ya ACC. lakini TCU wamekuja na hili la MTU mwenye DIPLOMA awe na GPA - 3.5 wakati Mimi Nina 3.3 ya Acc.
Mimi nimewaza fursa na Pesa ninayo...
Namba mnisaidie Hawa TCU si wanahisika na waliomaliza frm6, sasa Hicho kifungu cha 5.1 cha waliomaliza DIPLOMA awe na GPA 3.5 kinawahusu nini wao, wakati wanafunzi wameisha apply through NACTE tokea mwezi wa NNE na sifa ilikuwa MTU awe na GPA ya 2.8, Naomba msaada hapo mbona TCU na NACTE...
Mkurugenzi wa Halmashauri ya ITIGI mkoani singida katemwa, alitokea karatu kile alikuwa Afisa ushirika, kaja itigi akawa anapangiwa kazi zake na Mwenyekiti wa Halmashauri, sasa katumbuliwa anaitwa MSAFIRI MSAFIRI
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.