Recent content by kyumbo

  1. K

    JamiiForums Tanzania Nimefanya nimefanya factory reset kwenye simu

    Asante kwa ushauri ila bahati mbaya sikusave kwenye gmail
  2. K

    JamiiForums Tanzania Nimefanya nimefanya factory reset kwenye simu

    Naombeni msaada. Nimefanya nimefanya factory reset kwenye simu bila kujua consequence zake. Kuna namba za phone book na few msg muhimu, ni namna gani naweza zipata? Natanguliza shukrani zangu
  3. K

    JamiiForums Tanzania Kuna uhusiano gani kati ya supu na pombe?

    Duh respect mkuu.....ngoja niwahi supu na chapati fasta maana mning'inio unanizingua
  4. K

    JamiiForums Tanzania What is the sweetest answer you ever heard from your kid?

    Pole Jaslaws....same here. Kiimani watoto ni zawadi ya Mungu. So we can console ourselfs using kids around us
  5. K

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada jinsi ya kujiunga na DSTV

    Msaada tutani, nataka nijiunge na DSTV. Naomba mwenye info anisaidie kuwa itanigharimu kiasi gani kupta il kitu deck+dish na vinginevyo. Na kama kuna njia ya kupata unafuu. Natanguliza shukrani
  6. K

    JamiiForums Tanzania Wewe kama huna hii tabia, Maisha yako yatakwenda ovyo

    Well said.
  7. K

    JamiiForums Tanzania Msaada: Niwaandalie zawadi gani?

    Wandugu, Nimepewa task ya kuandaa zawadi kwa ajili ya wataalamu waliokuwa wanatushauri kwenye mradi wetu. Sasa nimestuck sijui niandae nini kama zawadi. Watu hawa ni watanzana wasomi...elimu yao ni level ya PhD.Tafadhali naomba mawazo niwaandalie zawadi gani? Natanguliza shukrani
  8. K

    JamiiForums Tanzania Nipeni tafu kimawazo

    Wapendwa wana Jf, Naombeni mpie tafu. Tumekuwa na advisers waituadvise kwenye projct yetu moja, sasa tumfikia mwisho wa project. Tunafikiria kuwapa zawadi hawa advisers. Kwa ushuri wenu mnaona tuwape nini? Level yao ya education ni PhD namostly ni watanzania. Pls naomba mawazo ni nini kinafaa...
  9. K

    JamiiForums Tanzania kwetu kuzuri

    Mufindi kuna sehemu moja inaitwa Fox farm.....noma sana. Panafaa sana kwenda pumzika
  10. K

    JamiiForums Tanzania Mila hizi za Kichaga mnazionaje wenzangu

    Ha ha haaaa.....Kwa hiyo kusoma ndio kuacha mila zako? Mie nashauri wataalamu waje watufafanulie hapa maana ya mila na desturi. Maana uelewa wetu wengi ni mdogo. Maana mambo mengine ni mila za wazungu sie tunaiga na tunaona zao ni nzuri. Mila zipo, na zitaendelea kuwepo
  11. K

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kila tukionana mpenzi wangu anataka kusex, nifanyeje ila apunguze?

    Duh wewe dada usikurupuke. We unaonana naye mara moja kwa wiki. So mnasex mara moja kwa wiki. Mie sioni kama ni mara nyingi
  12. K

    JamiiForums Tanzania Hivi ni kushuka kwa elimu ni uzembe wa watoto?

    Hebu jaribu kuembelea hapa (www.uwezo.net) uone hali halisi ya uwezo wa watoto wetu na kasha tuanze kujadili nini kifanyike
  13. K

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA

    Nakuelewa kaka. Point hapa ni mgongano wa kimaslahi. Mimi nafanya kazi kwenye NGOs, hizi ni NGOs ni kampuni zisizo za kibiashara, ila waliozifungua wanategemea kunufaka morally. Sasa wewe kama mwanao amesidiwa hujanufaika? maana mwanao humtumii kimaslahi ila umemzaa ili afikie lengo Fulani. So...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Zitto Kabwe: Maelezo yangu kuhusu kazi za Kigoma AllStars/LEKADUTIGITE kwa NSSF na TANAPA

    kwanza pole sana Mh Zitto. Dua zetu tunazielekeza kwenye afya ya mama yako. Mwenyenzi Mungu amponye haraka. Pili kwa bahati mbaya hili limejitokeza wakati unauguliwa. Ninachokiona hapa (kwa mizamo wangu), sio tuhuma kwamba umekula fedha. Kikubwa hapa ni mgongano wa maslahi (conflict of...
Back
Top Bottom