Nimefanya nimefanya factory reset kwenye simu

kyumbo

Member
Jan 21, 2013
79
33
Naombeni msaada. Nimefanya nimefanya factory reset kwenye simu bila kujua consequence zake. Kuna namba za phone book na few msg muhimu, ni namna gani naweza zipata?

Natanguliza shukrani zangu
 
Naombeni msaada. Nimefanya nimefanya factory reset kwenye simu bila kujua consequence zake. Kuna namba za phone book na few msg muhimu, ni namna gani naweza zipata?

Natanguliza shukrani zangu
Namba za simu pamoja na Emails unaweza kuzipata lakini siyo messages za kawaida.

Namba zenyewe inategemeana kama ulizisave kwenye Google Gmail Account.
 
Kuhusu contacts, create gmail account kwenye simu utazipata. Hapo pia inategemea kama ulisave contacts kwenye google account.

Kuhusu text sms ntarudi kwanza shule ila wataalam wanaweza kuwa na dawa.
 
Nenda jukwa la tech And gadgets huko kuna wataalam fasta utapata solution ya tatizo lako

Ova
 
Basi kama hujazi_Sync kwenye google acc. imekula kwako....angalia yaliyobaki kwenye line ya simu labda
 
Back
Top Bottom