Wandugu,
Nimepewa task ya kuandaa zawadi kwa ajili ya wataalamu waliokuwa wanatushauri kwenye mradi wetu. Sasa nimestuck sijui niandae nini kama zawadi. Watu hawa ni watanzana wasomi...elimu yao ni level ya PhD.Tafadhali naomba mawazo niwaandalie zawadi gani?
Natanguliza shukrani
Nimepewa task ya kuandaa zawadi kwa ajili ya wataalamu waliokuwa wanatushauri kwenye mradi wetu. Sasa nimestuck sijui niandae nini kama zawadi. Watu hawa ni watanzana wasomi...elimu yao ni level ya PhD.Tafadhali naomba mawazo niwaandalie zawadi gani?
Natanguliza shukrani