Msaada: Niwaandalie zawadi gani?

Msaada: Niwaandalie zawadi gani?

kyumbo

Member
Joined
Jan 21, 2013
Posts
79
Reaction score
33
Wandugu,
Nimepewa task ya kuandaa zawadi kwa ajili ya wataalamu waliokuwa wanatushauri kwenye mradi wetu. Sasa nimestuck sijui niandae nini kama zawadi. Watu hawa ni watanzana wasomi...elimu yao ni level ya PhD.Tafadhali naomba mawazo niwaandalie zawadi gani?

Natanguliza shukrani
 
Hahhahaa hao wana njaa kama Wengine tu, waandalieni bahasha za kaki kila mtu ya kwake, kama hamna bahasha za kaki muombeni Mama mmoja wa CCM, hua anasema eti anatembea nazo kwenye bahasha. maskani yake ya ubunge na familia yake ni Urambo.
 
Picha nzuri ya kuchora yenye kuakisi mradi wenu, chupa ya mvinyo iliyo pambwa vizuri, snack isiyo haribika kirahisi (ie korosho), kabahasha kakaki kenye pesa kidogo tuh kutegemea na na ukubwa wa mradi na impact ya hao consultants, zawadi zinakuwa in bundles. All the best mkuu
 
painted photo ambayo ipo framed, vinyago au souvenir yoyote ambayo inawakilisha utamaduni...
 
Back
Top Bottom