sister
JF-Expert Member
- Nov 23, 2011
- 9,014
- 6,852
Kuna katoto hako kana miaka 3 kanaimba unaramboo
aibu naonaga mimi
mwe.....
Kuna katoto hako kana miaka 3 kanaimba unaramboo
aibu naonaga mimi
hahahaah,,,,,,,na wewe ndio ulisababisha akasema hivyo maana utakuwa ulimpiga mkwara kula kwa watu.
Mi hata sina mtoto dah mungu atanijalia siku moja na mm ntachangia.najuta kufungua huu uzi nmejiskia vibaya sana.
yani kabisa ubanikabidhi kwa al-shabab......?