Recent content by kyolumuli

  1. K

    Soko la ajira kwenye AQUACULTURE SCIENCE likoje?

    Mimi sijasoma hiyo taaluma ya ufugaji samaki lakini nafuga samaki kwa kuelekezwa na vijana waliosoma certificate ya acqureculture pale Mbegani, Bagamoyo. Nina mabwawa yangu kadhaa hapa kijijini na naweza kuwwajiri hata wasomi wa PhD kwa mapato yatokanayo na mradi huu. Sasa kama wewe utakuwa na...
  2. K

    Natafuta chuo chenye kozi ya Health record management

    Ingia kwenye NET utafute TANDABUHI. Ila lazima uwe umefauli Biology la sivyo hutapata admision
  3. K

    Kozi za engineering chuo cha kilimo sokoine Ukimaliza unaajiriwa na serikali?

    Kwa nini upangiwe kazi au itafute kazi? Kozi nzuri kiasi hicho alafu unazingumzia habari za kupangiwa kazi au kutafuta kazi kweli? Kama umesoma PCM hapo ndo penyewe. Agr. sio lazima. then unaingia shambani, unalima na kumwagilia, unavuna na kupata fedha. Acha kuwaza white colar job
  4. K

    Kikwete amuondoa rasmi Dr. Ndalichako NECTA, amteua Dr. Msonde

    Hapana, usipotoshe grafani11. Msonde hakufundisha Dar es Salaam Teachers College bali alifundisha Dar es Salaam University College of Education baada ya kuhitimu Masters katika Education (MA Ed) UDSM. Ikumbukwe katika kozi ya B.Ed alifanya vizuri sana na kupata GPA zaidi ya 4.0 na kushika nafasi...
  5. K

    Kikwete amuondoa rasmi Dr. Ndalichako NECTA, amteua Dr. Msonde

    Ni kweli, Msonde ni jembe. Nimemfahamu tangu akiwa mwalimu wa shule ya msingi, sekondari, mkufunzi wa vyuo bya ualimu vya Songea na Morogoro (Kigurunyembe), Lecturer DUCE na hata baadae DES wa NECTA chini ya Dr. Joyce Ndalichako. Anafaa sana kwani ana uzoefu wa kutosha na kichwani yuko vizuri sana.
  6. K

    Mnaomtanguliza Wassira mnayajua haya?

    Akabidhiwe nchi huyo KADA tupate ahueni. Anazo sifa zote na ni mwadilifu. Pointi za kumponda Wassira wanazotumia wapinzani wake ni kwamba ANA SURA MBAYA KAMA NYANI na ni MZEE SANA. Hizo ni hoja za waliochoka kwa kuwa hatuna shida ya Rais wa kwenda kugombea umiss World au wa kwenda KUBEBA ZEGE...
  7. K

    Wataka Kutibiwa INDIA Usaidiwe?

    Wewe utakuwa ni agent wa Apollo Hospital. Mimi nimetibiwa Max Super Speciality Hospital, ipo New Delhi ambako nilifanyiwa Spine Surgery na Dr. Bipin Walia. Nilienda kichwa kichwa tu baada ya kupata email ya Assistant Manager for International Patients na kuwasiliana naye. Diagnosis waliyofanya...
  8. K

    Mnyika atumia bunge kuwajibu wajumbe wa baraza kuu

    Eti ee? Alafu mtu mwenyewe alikuwa anasoma ngumbalu aka EVENING CLASS alafu akafail. Yaani hawa chadema kwa kuwakumbatia division 5 hawajambo!!
  9. K

    Ni jina gani la "classmate" wako ukilikumbuka linakuvunja mbavu

    Kibendera Fugoyamahongo, nilisoma naye Butimba TTC. Alikuwa anafeli sana na sina uhakika kama alishapata diploma
  10. K

    wenye div 3 hawaendi kidato cha tano

    Wewe naye ni Kihiyo kweli, mleta uzi anazungumzia A-Level wewe unaleta habari za Mafunzo ya Ualimu ya Ualimu yanayoratibiwa na Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ualimu (wala sio Mkurugenzi wa Elimu). Au nawe ndiyo walewale Div. 5 nini?
  11. K

    FUTUHI ndio comedians pekeee waliobaki TZ

    FUTUHI hamna kitu. Naamini huu uzi umeletwa na wao wenyewe katika kujifagilia
  12. K

    Kazi ya ualimu

    Anajua Kiingereza au anataka kuleta longolongo? Kama hajui Enhlish vizuri aende kwa Kawambwa huku kwenye EMPS ataumbuka
  13. K

    Kweli tumelikoroga WAHANDISI-SUA (SUA-COE)

    Wahandisi wa SUA nanyi mabomu. Enzi zetu UDSM pale FOE Wahandisi ndo tulikuwa tunaogopwa. Tukiamua mambo uanakuwa au ndo kusema Wahandisi wa Kilimo hamko smart?
  14. K

    Watu 20 wafa ajalini Busega

    Ni katika kijiji cha Yitwimila "A" , Kata ya Kiloleli, Wilaya ya Busega. Basi hilo limepeasuka tyre kisha likaacha njia na kugonga nyuma ya Marehemu Mwalimu Mbofu (aliyekuwa mwenyekiti wa CWT Wilaya ya Magu) na kupinduka. Ni ajali mbaya sana.
Back
Top Bottom