FUTUHI ndio comedians pekeee waliobaki TZ

FUTUHI ndio comedians pekeee waliobaki TZ

Kuna yule mangi aliyekuwa anaidesign naona siku hizi ana vipindi vya watoto vinavodhaminiwa na c.r.d.b. .......'' hisabati ni maumbo ya urefu na upana''.............................hebu esabu madoa yangu kenye ngozi ......umepata mangapi....? unapokula ugali unahesabu matonge......,
Ametukatisha utamu.
 
Wafuatao ni orodha ya wapenda maigizo na vichekesho,
1.Mahouse girl
2.Wanawake wamama wa nyumbani.
3.Wanafunzi msingi na sekondari.
4.Wanaume wasio na hulka ya kujisomea vitabu wala internet.

unapozungumzia comedy unamaanisha nini?si watu wote wapenda mpira,wapenda pombe au ngumi. Elewa ni comedy ya aina gani ambayo mtu anapenda. Kwa mfano. Kuna series inaitwa robbin hood ina comedy ndani yake je hiyo nayo ni bongo movie? Nadhani ni vizuri kujielezea wewe zaidi kuliko kuwasema watu.
 
comedy pekee Tanzania ni Mizengwe tuu ya akina sumaku, hizi zote zilizo katika mfumo wa taarifa ya habari ni takataka tupu

yani we ndo umemaliza kila kitu czan kama kuna mtu anapinga mizengwe ni noma chezea ------ wewe. Namkubali sn Maringo saba na mze sumaku a.k.a serikali afu huyu anatuletea futuhi
 
jamaa wengine nliokua nawakubali ni wale . Jambo na vijambo aiseeeee ni kama............ Walikua eatv jamaa wakali hasa chauroho na yule jamaa kama jesus sa cjui futuh watashka no ngp ktk comedy ya bongo
 
Wafuatao ni orodha ya wapenda maigizo na vichekesho,
1.Mahouse girl
2.Wanawake wamama wa nyumbani.
3.Wanafunzi msingi na sekondari.
4.Wanaume wasio na hulka ya kujisomea vitabu wala internet.

We ni mnafiki tu, hivi unaekesha kuangalia tamthilia za kifilipino na mimi ninae angalia comedy bora nani?
 
Mimi nikiangalia futuhi nachukia na kusikitika! Level ya komedi yao ni ya kiswazi mno. Katika kila
onesho lazima kugombana, kukatana mtama vitatokea. Ni komedi hiyo? Kila futuhi ikianza nabadili chaneli.

Sio huwa unachukia kwa sababu ya maneno yao kukuchoma kweli? Maana kama kile kipengele cha mtafiti najua huwa anawagonga wengi sana.
 
FUTUHI hamna kitu. Naamini huu uzi umeletwa na wao wenyewe katika kujifagilia

Mimi ndio nmeleta huu uzi na sina uhusiano wowote na futuhi. Au nikuwekee picha yangu?
 
Wafuatao ni orodha ya wapenda maigizo na vichekesho,
1.Mahouse girl
2.Wanawake wamama wa nyumbani.
3.Wanafunzi msingi na sekondari.
4.Wanaume wasio na hulka ya kujisomea vitabu wala internet.

Hii experience uliipata kwa mama eeh!
 
Hahahahahahahhahahahahahahhahahahah:sly::sly::sly::sly::sly:
Hebu mtoa mada usinichekeshe!!! Kwakweli wale naona wanapoteza muda tu........hainikuni binafsi. Hata hawachekeshi
 
FUTUHI,ilikua enzi za akina Babu Mkombe,Prof Chenga Mbili, Kafuku, na sio hii sasa hivi, mtu wa msingi sa ivi pale ni braza K na yule jamaa anaesema mwenye nguvu mwite power tu,wengine wote akuna kitu
 
Hahahahahahahhahahahahahahhahahahah:sly::sly::sly::sly::sly:
Hebu mtoa mada usinichekeshe!!! Kwakweli wale naona wanapoteza muda tu........hainikuni binafsi. Hata hawachekeshi

Sawa wewe si wanakufurahishaga akina wema sepetu na wenzake!
 
Mimi nikiangalia futuhi nachukia na kusikitika! Level ya komedi yao ni ya kiswazi mno. Katika kila
onesho lazima kugombana, kukatana mtama vitatokea. Ni komedi hiyo? Kila futuhi ikianza nabadili chaneli.

Naichukia Futuhi hunishindi....Ni komedy ya kitotot sana..
 
Si kila unachochukia mwingine nae achukie tuachane na uzandiki na unafiki hapa apendae futuhi aachwe usipenda potea zako na balaa zako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom