wenye div 3 hawaendi kidato cha tano

Ofcourse, kama ni 2013 hiyo ni C kv C= 40-49.

Aseeeee we jamaa NasDaz huwa nakukubali sana coz upo njema kichwani na daily hoja zako huwa zipo very constructive sio kama wasomi wengine wanaoshinda kwenye thread za UKAWA na CCM kupigana majungu, so kuwapa darsa vijana bila kuvunjika moyo.

GOD BLESS YOU.
 
Last edited by a moderator:
kwan credit c zinajulikana ni ngapi zinatakiwa so we km umefikisha ucwaze bt km ni chenga jitie kidole
 
hujui unachoongea wewe, kwahiyo nyamaza. Hii hapa taarifa ya katibu mkuu wizara ya elimu.

"katika mtihani wa kidato cha nne mwaka 2012 baraza lilitumia mfumo huu wa alama mgando ambapo: A = 80 – 100, b = 65 – 79, c = 50 – 64, d = 35 – 49, f = 0 – 34. Kwa upande wa kidato cha sita baraza lilitumia mfumo wa a = 80 – 100; b = 75 - 79; c = 65 – 74; d = 55 – 64; e = 45 – 54; s = 40 – 44 na f = 0 – 39. Mifumo hii ya baraza haikuwa inafahamika kwa wadau na hivyo kuwa sehemu ya malalamiko katika sekta ya elimu na mafunzo." nenda hata kwenye tovuti yao utaikuta... Kwahiyo bado inathibitiha hoja yangu kwamba watu tu wavivu wa kusoma.

we tupe hiyo tovuti ya wizara ya elimu unayodai kwamba ipo
 
achen kudanganyana.tatizo watu hawapend kufatilia vyombo vya habari kuangalia tv au hata kununua magazet.watu tv wanaangalia muvi 2.sasa elewen kuwa muwe mnafatilia vyombo vya habar ili ujue nn kinachoendelea.matokeo yalvyo toka ya iv2013 ambayo yametoka mwaka huu wazri alfafanua kabisa kuwa watakao enda form v mwaka 2014/2015 mwenye divison 1mpaka3,ya31.NANTHAN MMENIELEWA.THENKX
 
Unaona sasa!! Kumbe ulifanya huo mtihani... meaning bado ni mwanafunzi! Sasa ukiwa kama mwanafunzi unafahamu sheria za Baraza? Hivi wanafunzi wangapi wanadhani kwamba D zamani ilikuwa inaanzia 21 wakati ukweli ni kwamba hizo D za 21 ni grading solely done ins schools lakini Baraza tangu zamani D yao inaanzia 35! Halafu unavyosema Data zangu hazikutumika... data zangu zipi wakati nimeshakuambia hiyo ni Taarifa ambayo ilitolewa na Wizara? Halafu angalia unavyojichanganya... unasema hazijawahi kutumika halafu tena unasema walijaribu mwaka juzi ndio maana wakarudia upya!! Kwani suala la Standardization ambalo lilifanyika hiyo mwaka juzi ambayo unaita walirudia tena unadhani ni jambo geni?

All in all, nimekuambia nenda tovuti ya Wizara utakuta taarifa mzima... kwahiyo nenda ukawabishie wizara kwa sababu ndio wametoa hiyo taarifa.

well spoken broda
 
Waraka ushatumwa kwa wakuu wa shule juu ya kujiunga na masomo ya advance,sema na Mkuu wako wa shule,waraka wa kujiunga na vyuo vya ualimu nao upo kwenye website ya wizara lakini pia Kawambwa (Mzigo) ametoa tangazo lingine inasemekana form IV wenye div IV hawataenda chuo cha ualimu chochote,ila pia unaweza ukaenda wizarani kamuulize Mkurugenz wa Elimu

Wewe naye ni Kihiyo kweli, mleta uzi anazungumzia A-Level wewe unaleta habari za Mafunzo ya Ualimu ya Ualimu yanayoratibiwa na Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ualimu (wala sio Mkurugenzi wa Elimu). Au nawe ndiyo walewale Div. 5 nini?
 
Wewe naye ni Kihiyo kweli, mleta uzi anazungumzia A-Level wewe unaleta habari za Mafunzo ya Ualimu ya Ualimu yanayoratibiwa na Mkurugenzi wa Mafunzo ya Ualimu (wala sio Mkurugenzi wa Elimu). Au nawe ndiyo walewale Div. 5 nini?
Nashukuru kwa kejeli zako,lakini mtoa mada nilipomwelekeza hakua na majibu ya kashfa na kebehi,na mimi kuwa na divishen 5 sidhan kama ni tatizo kwako,maana haikusaidii wala kukuathiri,
Pia ukihiyo wangu unanisaidia mimi katika harakat za kusaka mkate wangu,
 
Aende wapi huyo mwenye 3? Kesho mnasema elimu imeshuka. Hapo unapaswa uwe mwisho wa safari. Wa 1 aende na wewe wa 3 uende? Wajameni kwanini sasa watu watafute 1 kama kila mtu ataenda? Kama hukufanya uzembe ujue kuwa uwezo wako ni mdogo. Tafuta jambo zuri la kufanya. Soma certifiate.diploma mtakutana kwenye degree.
 
Aende wapi huyo mwenye 3? Kesho mnasema elimu imeshuka. Hapo unapaswa uwe mwisho wa safari. Wa 1 aende na wewe wa 3 uende? Wajameni kwanini sasa watu watafute 1 kama kila mtu ataenda? Kama hukufanya uzembe ujue kuwa uwezo wako ni mdogo. Tafuta jambo zuri la kufanya. Soma certifiate.diploma mtakutana kwenye degree.


Post zingetoka mda mrefu ! Na wangeenda wenye 1 na 2 !

Ila serikali + Siasa = Tanzania

hizi div 3 ndizo zilizosababisha yote haya !

Nijuavyo mimi !
 
Back
Top Bottom