AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Ofcourse, kama ni 2013 hiyo ni C kv C= 40-49.
Aseeeee we jamaa NasDaz huwa nakukubali sana coz upo njema kichwani na daily hoja zako huwa zipo very constructive sio kama wasomi wengine wanaoshinda kwenye thread za UKAWA na CCM kupigana majungu, so kuwapa darsa vijana bila kuvunjika moyo.
GOD BLESS YOU.
Last edited by a moderator: