Hilo ni suala la utumish, wao ndio watapeleka data za ww kukatwa, do ishu itakuwa crdb walisitisha mkopo wakat tayar afsa utumish kapeleka data hazina. Pesa yke atapewa na atamaliza mapema maana keshaanza marejesho
Ishu ya DNA ni zaid ya pesa, ndo mana ukiambiwa mke wako kafumaniwa inasound kuliko kusikia hasara ya biashara. Kisaikolojia utaathirika Sana kama ukikuta mambo si Sawa, na bahat mbaya daktar anaweza sema mtt wako ili kukuridhisha hata kama kipimo kimekataa lengo kuzuia mifarakano ya familia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.