Kuna watu hawajui ila wanajitahidi nao wajibu so wanaishia kujibu pumba au wanajua sana afu wanakiburi cha kujua so anayeuliza akikosea kwao ni faida ya kuonesha ujuaji wao.Jamaa anaomba ushauri baadhi mnamshambulia
Hapo benki inahusika vipi?Mkuu sijui kama umeelewa,deni linalipwa, kinachotokea ni kwamba fedha inakatwa lakin salary slip haionyeshi kama imekatwa, na ndio hapo shida inapoanzia.
Wengi humu ni vijana wadogo bado wana akili za kitoto ndio maana wanajibu kitoto.Jamaa anaomba ushauri baadhi mnamshambulia
Kuna watu wanaudhi sana mkuu,lakini ukiingia jf wao na wapo na wanahitaji kusikika kwahiyo nibkuwavumilia tuu.Jamaa anaomba ushauri baadhi mnamshambulia
Kweli utoto unawasumbua, labda wakikua wakapata majukumu watabadilika.Wengi humu ni vijana wadogo bado wana akili za kitoto ndio maana wanajibu kitoto.
Yap alikopa kwa miaka mitano,na kiasi hicho ndio anachokatwa, mkuu inaonesha unayafahamu vizuri.Kama alikopa mkopo wamiaka 5 atalipa m.22,854,000.na kila mwezi anakatwa 380,901.happ riba ni 18%
Ndio maana alienda kuuliza benki ili kujua kama fedha inafika au ulitaka aende wapi?Hapo benki inahusika vipi?
Njooni mkope kwenye benki za Kiislamu...hakuna riba huku. Riba ni haram..inadhulumu watu badala ya kuwasaidia.Kweli kuna usanii sana, walimwambia riba ya chini( kati ya 20-30) hakumbuki, akakopa 15,000,000 atalipa 22,000,000.Kimsingi sio wakweli.
Wananmshambulia kwasababu hakunyoosha manenoJamaa anaomba ushauri baadhi mnamshambulia
Principal amount ni kiasi cha mkopo alichopokea ambacho kulingana na maelezo yake ni Tshs. 15m. Na total facility ni jumla ya kiasi ambacho atakuwa amelipa pamoja na riba yake hadi tarehe ya mwisho ya kurudisha mkopo baada ya hiyo miaka mitano (yaani principal amount + interest) ambacho kwa case yake huyu mwenzetu ni Tshs. 22,854,060.principal Amount ni kianzio
final maturity date ni tarehe ya mwisho
first drawdown date ni tarehe ya kupunguza deni(akiba) ya kwanza
total facility ni Wenda alichukua pesa nyingi,au aliweka kiasi maalumu cha kukata au makubaliano ya mkopo.
Hizo form za mkopo halijaziwa au kajaza mwenyewe kwa ufahamu wake wende kuna misteki kafanya
Iko sawa .unajua jinsi unavyo ongeza muda wa kulipa ndo riba inaongezeka.kama una android nenda kwenye playstore download multculculator.alafu tafuta sehemu inaitwa loan calculationYap alikopa kwa miaka mitano,na kiasi hicho ndio anachokatwa, mkuu inaonesha unayafahamu vizuri.
Hivi huwa wanakata vipi?,maana alikopa m15 atarudisha m22.8 naona ongezeko ni m7.8
Ambayo ni zaidi ya 18%.
Haya tumekuskia, umepangiwa shule gani?Walimu mnapenda sana kukopa,usilie vumilia! Hayo maswali ungemwuliza bepari tangu Mwanzo wakati mnachukua mkopo