Old Skuli
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 690
- 178
When was that?Naipenda CRDB,isipokuwa kuna siku nilifanya malipo kwa njia hii sijui mnaita TT,nilijuta masaa arobaini pesa haijahama,mhindi kagoma kunipa mzigo,nawafuata pale Lumumba, wananiambia na wao hawaelewi,duuh! Hapo natakiwa niwahi kurudi mkoa,Ratiba yangu yote ilivurugika,kwa hasira nika cancel transaction, nikachukulia ndani, nikasema potelea mbali wazee wa boxer wakinipa chai, 'usijaribu kufanya malipo kutoka crdb kwenda banks zingine kama una haraka.
Its probably before Feb this year..Na unaposema usifanye TT na CRDB kama una haraka unakosea..Mara nyingine inawezekana Branch husika walichemka wao and that is nothing we can conclude as CRDBs(in whole)problem..
Probably u havent heared about the new TACH system..stay updated!