Swali lako linenikumbusha tukio moja tukiwa O level. Classmate wangu Me and Ke walifumaniwa gheto wakifanya yao (jpili hiyo). Jumatatu taarifa ilifika shule na kuitwa assemble wakapigwa viboko then kurudishwa home kwa mwezi mmoja. Baada ya kupewa suspended muda huohuo wakaelekea porini wakafanya...
Nipe mawasikiano ya huyo jamaa,,, nitamuunganisha na mwanasheria wangu. Hapo mzee baba katapeliwa mchana kweupe.
Ila ni vizuri pia kutujuza kama huyo jamaa amewahi onja mbunye before huyo mwanamke?. Wazazi wa mwanamke wameona weak point so wanatumia as an opportunity...
Correct, hiyo shingo ya bata huitwa "P trap"
Mafundi uchwara mara nyingi hawaiweki hiyo either kwakukwepa gharama yakuinunua, au levels za kuiset ili iendane la level ya bomba linalopeleka huo uchafu kwenye shimo. Ni muhimu sana hiyo katika zoezi la uzuiaji wa harufu kurudi ndani
Ushauri mzuri kabisa huu. Pia fundi anaweza akaangalia kama kwenye sink la choo hicho waliweka P trap inayosaidia kubakiza maji unayotumia kuflash choo. Hayo maji hubaki hapo ili kuzuia harufu toka shimoni (septic tank) kuja ndani. Kama hiyo p trap ipo basi aiangalie kama iliwekwa vizuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.