Mke ana VVU mume hana. Naomba ushauri

Mke ana VVU mume hana. Naomba ushauri

Wakuu kumradhi nauliza tu.. Hivi unapokutana kimwili na msichana mwenye VVU akiwa bado bikra je unaweza pata maambukizi? Na je ile damu itakayotoka wakati wa tendo haiwezi kuwa kisababishi cha kupata maambukizo ya VVU?
100%
 
Ni vijana ndugu zangu wameingia kwenye ndoa mwaka jana ila hawakupima afya.

Sasa mke amepata ujauzito na walipokwenda kupima kama inavyotakiwa clinic mke ameonekana ana maambukizi ya vvu. Kwa Upendo walionao Mume hataki kumuacha mke na wanataka kuendelea kuishi pamoja.

Je, waishi vipi kwa usalama wa wote na mtoto pia. Ni true story na kijana amekuja kuniomba ushauri nimemwambia aje Jumapili mchana.

Karibuni Ndugu wanajf.
Waambie waende hospital watapata ushauri mzuri tu wa namna ya kuishi pamoja bila kuambukizana humu sio kila mtu ni daktari
 
Ni vijana ndugu zangu wameingia kwenye ndoa mwaka jana ila hawakupima afya.

Sasa mke amepata ujauzito na walipokwenda kupima kama inavyotakiwa clinic mke ameonekana ana maambukizi ya vvu. Kwa Upendo walionao Mume hataki kumuacha mke na wanataka kuendelea kuishi pamoja.

Je, waishi vipi kwa usalama wa wote na mtoto pia. Ni true story na kijana amekuja kuniomba ushauri nimemwambia aje Jumapili mchana.

Karibuni Ndugu wanajf.
Cc@decemption
Kuna uzi ulianzishwa na huyo jamaa hapo you can read and get your advice
 
Wakuu kumradhi nauliza tu.. Hivi unapokutana kimwili na msichana mwenye VVU akiwa bado bikra je unaweza pata maambukizi? Na je ile damu itakayotoka wakati wa tendo haiwezi kuwa kisababishi cha kupata maambukizo ya VVU?
Inategemea na wewe kama kulikuwa na Bodly fluid exchange...

Only kama Ile damu ilingia kwenye mfumo wako wa mwili...

Kupata umeme sio rahisi sana... But kujichunga lazima

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni vijana ndugu zangu wameingia kwenye ndoa mwaka jana ila hawakupima afya.

Sasa mke amepata ujauzito na walipokwenda kupima kama inavyotakiwa clinic mke ameonekana ana maambukizi ya vvu. Kwa Upendo walionao Mume hataki kumuacha mke na wanataka kuendelea kuishi pamoja.

Je, waishi vipi kwa usalama wa wote na mtoto pia. Ni true story na kijana amekuja kuniomba ushauri nimemwambia aje Jumapili mchana.

Karibuni Ndugu wanajf.
Hii stori ni yako wewe
 
Hiyo ipo ila ni nadra sana, na mala nyingi bahati hiyo huwa nayo watu wenye group O- la damu!! Huyo hata kama akiendelea kufanya mapenzi bila ya kinga hawezi pata maambukizi kamwe!!
Kwahyo mkuu unasema hata Mimi mwenye 0+ nikipiga kavu ni ngumu kupata ?
 
Waende hospitali watapewa ushauri sahihi
 
Ni vijana ndugu zangu wameingia kwenye ndoa mwaka jana ila hawakupima afya.

Sasa mke amepata ujauzito na walipokwenda kupima kama inavyotakiwa clinic mke ameonekana ana maambukizi ya vvu. Kwa Upendo walionao Mume hataki kumuacha mke na wanataka kuendelea kuishi pamoja.

Je, waishi vipi kwa usalama wa wote na mtoto pia. Ni true story na kijana amekuja kuniomba ushauri nimemwambia aje Jumapili mchana.

Karibuni Ndugu wanajf.
Mbona cases kama hizo zipo nyingi, hapo hapo hospital / clinic aliyokwenda kupimwa wataelezwa namna ya kuishi na hali hiyo
 
Wakuu kumradhi nauliza tu.. Hivi unapokutana kimwili na msichana mwenye VVU akiwa bado bikra je unaweza pata maambukizi? Na je ile damu itakayotoka wakati wa tendo haiwezi kuwa kisababishi cha kupata maambukizo ya VVU?
Hapo uwezekano wa kupata ni asilimia kubwa labda uwe ulitumia kinga
 
Ni hali ya kawaida, na wala hiyo sio mara ya kwanza na sio kwao tu..

Ninaye Ndugu, yeye mkewe mpaka alianza kuumwa magonjwa nyemelezi, katika kupima ndio ikagundulika mkewe anao. Mume( ndugu) hana, Mke akakataa kutumia Dawa, akawa chapombe, Ni miaka mitano toka amegundulika na miaka mitatu toka amefariki. Akaacha watoto.

Hivo kwa inshu yenu

Mke wa Jamaa aendelee na Dozi vzuri , Kula vzuri.

Jamaa awe karibu yake, amkumbushe mke kutumia dawa, klinik n.k

Wakubaliane kua waendelee kulana lkn kwa matumizi ya kondom.


Kwa mimba zijazo , Mechi itapigwa kavu na isiyo yakukamiaa, huku mke akiendelea na Dozi




Ona maajabu sasa.. Hapo jamaa alikua hajajua kama mkewe yuko na maambukizi akawa anapiga tu vzur na ametoka salama...

Ila saizi amejua, akisema aendelee kupiga kavu, mechi tatu sio nyingi anaukwaa pia.
Suicide Mission,
Condom ikipasuka Kama ya Baba Mlezi wa Nasibu Nyange je?
 
Wakuu kumradhi nauliza tu.. Hivi unapokutana kimwili na msichana mwenye VVU akiwa bado bikra je unaweza pata maambukizi? Na je ile damu itakayotoka wakati wa tendo haiwezi kuwa kisababishi cha kupata maambukizo ya VVU?
Bikra?
Damu ni Damu.
Acha ujinga unataka utuharibie watoto Kenge wewe
 
Back
Top Bottom