Ukweli hao wanajeshi mie siwalaumu hata kidogo... Hao polisi wanadharau kazi za wenzao ila wao wanajipendelea zaidi. Ukifuatilia utagundua kuwa traffic police akiiona tu au akijua gari lao liko mwelekeo fulani basi ataivuta hiyo njia mpaka wapite...lakini ni tofauti inapotokea gari la Jw hata...
Ahsante sana mkuu...umetupa mwanga mkubwa sana juu ya taasisi hii ya muhimu kwa taifa. Ukweli umejibu maswali yangu mengi sana niliyokuwa nayo juu ya hawa jamaa...
Jamani daladala hizi! hivi kwanini wao tu ndo wanajiona wana haraka kuliko wengine? Ona sasa haraka zake dereva wa daladala zinaishia kupoteza maisha ya watu wasio na hatia namajeruhi na yeye mwenyewe anaenda kusota MOI na pingu kitandani..
Bora uwaambie maana wanadhani hizi bei hapa nchini ewura wanajiamulia tu kupandisha au kushusha!
Bei ya mafuta nchini hutegemea bei kwenye soko la dunia.
Uwe na uhakika na taarifa unazotoa! Unasema wiki mbili zilizopita ndio bei ya mafuta ilipanda..una uhakika na taarifa yako? Bei zinabadilika kila mwanzo wa mwezi ndio Ewura wanatangaza bei elekezi..sasa unapotengeneza hoja kuwa bei ilipanda kwajili ya chaguzi za ccm wiki mbili zilizopita ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.