Angalia nyuma PM picha ya pili...Bashite simuoni, labda ameenda kulinda makanikia
Dawa ni kuendeleza shamba hizo zingine porojoLazima kuna shamba la mtu Fulani linatafutwa, si bure. Muda utatuambia.
waliokuwa na phd wameisaidia nini hii nchi! hebu muacheni bashite apige kazi, kipaji cha uongozi anacho, kuliko hao mnaowaita wasomi wa vyeti!Bashite aonyeshe cheti, hatujasahau kabisa.Juhudi zake za makinikia zitakua na mashiko Bashite atakapoonyesha vyeti vyake.
unamjua bashite kweli?Angalia nyuma PM picha ya pili...
Hahahhaha!Wamekaguliwa vyeti?
Nyumbu subirini mvushwe mto mara ...Hawana jipya hao...........none sense