Lesson
Naiusia nafsi yangu na kuwausia ndugu jamaa na marafiki zangu juu ya kumuogopa Allah kwa kufanya aliyotuamrisha na kukatazika kwa aliyotukataza
Hapa issue ni je walishafanya toba ya kweli ili Allah awasamehe huko walikoenda?
Maana kifo si tatizo tatizo ni kuridhiwa na Allah
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.