Nimeokota kitambulisho cha NIDA

Nimeokota kitambulisho cha NIDA

Peleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.

Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.

Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.

Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.
Polisi wa Tanzania ni wajinga sana sana. Mwizi hawezi kumvamia mtu halafu achukuwe wallet yake apeleke polisi eti ameokota.
 
Sehemu salama za kupeleka vitambulisho vilivyopotea ni Polisi, serikali za mitaa au ofisi ya moja ya vitambulisho hivyo for instance CRDB
 
Peleka polisi man. Niliokota wallet ina IDs kibao za mtu mmoja, nikaona ya ofisini kwake DIT. Hapo nimeokota Chang'ombe kule.

Kwakua nilikua na trip ya posta iyo siku, nikajifanya mwema nikaenda nacho DIT walinzi nikawavuka bila kuwaambia ila nilivoenda mapokezi nikawaambia. Nikawekwa sehemu akaja HR nikawa naongea nae.

Aisee kumbe jamaa alivamiwa jana yake alivokua anarudi kutoka kazini. Kaibiwa ibiwa ye yupo hospital.

Sema HR alikua muelewa, ila nikaacha taarifa zangu. Owner alikuja akanitafuta akiwa na polisi aone kama atanitambua ni moja ya watu niliomuattack, alivoniona tu akasema hapana uyu mrefu sana walikua wafupi. Nikasema dah. Wema huu.
Bahati yako wangemuua ungekuwa jela hadi kesho.
Tatizo ni polisi wetu hawana uwezo wa kuchunguza matukio wanaishia kutia hatiani wasio husika.
 
Kuna umuhimu mkubwa vitambulisho viwe na contact ya muhusika
Kuna kundi la watanzania ni wapumbavu, akipoteza namba ya simu hahangaiki kurenew, anasajili laini nyingine tu. Halafu kuna huu upumbav wa mitandao ya simu kugawa namba za simu.

Hivyo utajikuta unaokota NIDA ya mtu lakini namba ya simu sio ya mhusika.
 
Kuna jamaa aliwahi okota simu ya mtu ikamponza, akataka irudisha kwa nia nzuri lakini ikamponza. Kitambulisho nachoweza kuokota na nikatoa taarifa ni cha ndugu yangu. Vingine napotezea hapo hapo, sitaki usumbufu na vyombo vya dola.
kweli kabisa
 
Peleka polisi...

Kuna jamaa ashawabi kuweka uzi hapa namna unapaswa kufanya ukiokota vitambulisho au vyeti vya mtu ...
.... ni vyeti vya mtu ama mali zake au hata fedha sio vitambulisho tu
 
Kwani huwa hawaandiki nyuma ya vitambulisho incase mtu kaokota apeleke wapi? (If found please return to)?
 
Wema huzaa maumivu juzi kati kuna jamaa aliokota waleti yenye vitambulisho na pesa taslimu kama milion hiv kasoro bas kwakuwa alikuwa mwema akaenda tangaza kwa jiran punde akaambiwa huyu flan anaish sehem flan muokotaj huyo mpaka kwa muhusika, kufika pale akamuelekeza na kumkabidhi kilichotokea kesi iko mahakaman kapigwa fain ya shiling m5 jamaa mdondosha pochi akidai alivamiwa na kuporwa wema huu sina hamu nao saiv nikikuta poch yenye vitambulisho nachomoa pesa nanunua kibriiti aka kiberiti cha kasuku napiga moto kupotezaaa isije wazee wa finger print waka nasa alama zangu nikatafutwa
Ndio hvyo sitaki upumbafu kbsa
 
Uko kujifanya kwako mwema kutakuja kukuponza Mark my words ungekipita tu kama hujakiona
 
Back
Top Bottom