Inanikumbusha baunsa mmoja wa club, alimkamata dogo (sharobaro) aliyezingua club baada ya kulewa, baunsa akambeba dogo mzobemzobe hadi stoo ya club akafunga mlango akamwambia dogo avue (dogo huku akitetemeka akavua nguo zote akisubiri hatma yake), baunsa naye akavua dogo akajua leo ni kuliwa...