Inanikumbusha baunsa mmoja wa club, alimkamata dogo (sharobaro) aliyezingua club baada ya kulewa, baunsa akambeba dogo mzobemzobe hadi stoo ya club akafunga mlango akamwambia dogo avue (dogo huku akitetemeka akavua nguo zote akisubiri hatma yake), baunsa naye akavua dogo akajua leo ni kuliwa...
Kiongozi wa CUF inaonyesha mdini sana huyu, amesema kipindi cha uongozi cha Nyerere na Mkapa taasisi za kijamii (nadhan akimaanisha za dini zaidi) zilikaa kimya na nchi kutawalika lakini kipindi cha Mwinyi na sasa Kikwete taasisi za kijamii zinaongea sana na nchi haitawaliki....nadhani chama...
CWT bana, watatishia mgomo na walimu kupata mzuka wa mgomo kumbe lengo lao mwishoni serikali ije iwahonge wasitishe mgomo.....Chama cha kingese sana hiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.