Michelle Obama: Umbo Lake Laleta Mzozo....

Michelle Obama: Umbo Lake Laleta Mzozo....

jaribu kuwafatilia wabunge wa kenya,akiwepo Mp sonko,wana zaid ya vituko
 
Hajui kuwa huo ndo ubantu?

It is more than being a mbantu!!!

Jaluos, Somalis, Tutsis, etc are not bantus and yet they huge posteriors!! Probably there is another explanation to this lovely phenomenon!!!!!!
 
i think the congressman needs some lil biology class on why curved woman are regarded as beautiful and more attractive to men, its no choice its law of nature. Curved woman have wide pelvic and thus can easily reproduce. The natural selection instill this idea into man's female attraction center as a favourable character. I understand being fat/obese is more of ratio of height to weight (BMI) rather than how curved you are. He really should apologise.
 
Huyo atakuwa ni mmojawapo wa wale wazungu naive kuhusu black race...Kuwa na a big behind doesnt necessarily means that you're unhealthy!
Ndo US hiyo...

Mimi nilishatukanwa huko US (NY) in 2007 na muandishi mmoja sikumbuki ni wa media gani (it was a press lunch), kwamba kuna utafiti umefanya ya kwamba kuwa na big behind ni ishara ya kuwa hatuja advance genetically and thus why tupo nyuma. Na nilipombana kuhusu wamarekani ambao nao wana mata.o Makubwa akasema wao ni obese na sio maumbile yao.

So hao watu bwana (sio wote though) they can be very rasist; halafu kinawakera sana wakiona weusi wanafanya vizuri!
 
WHAT IS IN AN APOLOGY?

Nothing! Nunca! We've changed the notion of an apology into a meaningless concept. Say all the nasty stuff you want about anyone and just say, "I'm sorry" and that should do it...


Inakuwa aibu kubwa sana unapocopy comments za watu toka Yahoo news, unazileta kama zilivyo hapa JF. Mambo ya ajabu kabisa naleta evidence sasa hivi.
 
Do the job you were elected to do and stop looking at Michelle's butt!,The congressman ought to put his efforts into serving the people he represents, not into meaningless #$%$ This is just another example of the incompetent fools we have in BUNGE. What a disgrace.


 
Inakuwa aibu kubwa sana unapocopy comments za watu toka Yahoo news, unazileta kama zilivyo hapa JF. Mambo ya ajabu kabisa naleta evidence sasa hivi.
ha ha ha ha ha ha,duh! miwatu inadesa hadi comments
 
Haaaaaa JF is never boring-The Boss watu wanadesa comments haaaaaaaa labda kasoma hio habari akatoka kapa sasa naye asionekane kayumba(kanumba) akaona bora adese comments haaaaaaaaa
 
duuuh! nimecheka mpaka basi,hii ya kudesa comments ni kibonzo changu cha Christmas, can't stop laughing kwi kwi kwi!
 
article-2077319-0F3FEEF100000578-768_224x512.jpg
article-2077319-0F3FEEBD00000578-269_224x512.jpg
 
Ab-Tit,
nilikuwa nimemiss sana hizi picha..nadhani sasa tutapata ukweli kuhusu mada ya kusengenya wowowo la FL
 
Aaaahhhh!!!! sasa haya ndio ****** ya kupigia kelele! Si aje huku aone vitu kama hakuchanganyikiwa!!

Watu wa ajabu kabisa hawa, mmama wa watu yuko bapa kabisa huyo....ndo makalio wanafanyia na mjadala haya?
 
Haaaaaa JF is never boring-The Boss watu wanadesa comments haaaaaaaa labda kasoma hio habari akatoka kapa sasa naye asionekane kayumba(kanumba) akaona bora adese comments haaaaaaaaa

Hii inaweza ikamfanya mtu atelekeze ID aje na ID mpya....dah! Hili ni bonge la soo na noma kilo mbili.
 
Aayaa yaani uto ndio anapigia kelele zote hizo??kweli wazungu wabaguzi sana wamemtafuta wanamkosa wameamua kumpa kwa lolote!!akwende zake!
 
Mimi nilishatukanwa huko US (NY) in 2007 na muandishi mmoja sikumbuki ni wa media gani (it was a press lunch), kwamba kuna utafiti umefanya ya kwamba kuwa na big behind ni ishara ya kuwa hatuja advance genetically and thus why tupo nyuma. Na nilipombana kuhusu wamarekani ambao nao wana mata.o Makubwa akasema wao ni obese na sio maumbile yao.

So hao watu bwana (sio wote though) they can be very rasist; halafu kinawakera sana wakiona weusi wanafanya vizuri!
"Steriotype of a black man misunderstood, and its all good" "and if you dont know now you know..." Lol!

Si umeona hakuna ukweli wowote kuhusiana na FL kuwa na a whats so called a "large posterio"?

Steriotype...
 
Aaaahhhh!!!! sasa haya ndio ****** ya kupigia kelele! Si aje huku aone vitu kama hakuchanganyikiwa!!

ka-butt kenyewe mbona ka kishikaji tu haka jamani...yaani ndo mpaka jamaa anajipotezea heshima kwa ajili hiyo au alitaka kurusha kijembe tu
 
cuz she has a large booty? she clearly isnt fat. many people of african decent have larger bootys than their white counterparts. probably better developed muscles. and this coming from the great white whale. personally i gotta say.....i like big butts and i cannot lie...

This is probably why Africans in general can't swim and why you never see Africans swimming in the Olympics. It's difficult to float in the water with a large behind.
 
Back
Top Bottom