Recent content by Kuntukuntu

  1. K

    Nawashtaki Grace Kiwhelu, Lucy Owenya, Mary Chitanda na Mwanasheria Mkuu

    Originally Posted by MsandoAlberto: Ndugu zangu WanaJF, Hatimaye nafsi yangu imekuwa huru. Baada ya kutafakari kwa muda mrefu huku nikiumia moyoni nafsi yangu sasa imekuwa huru na niko tayari kufanya lile ambalo naamini halitawapendeza wengi lakini ni sahihi kwa maslahi ya Taifa letu...
  2. K

    Hii imekaaje

    Huo mkutano utamfaa Bw Msando Albert "Wakili mwadilifu" kama anavyojipanua! Ha ha ha ha tunaokujua tunakisikia aibu mkuu! Crap!n!n
  3. K

    Mama Tibaijuka, naongeza ushauri wangu kuhusu uboreshwaji wa jiji la Dar

    Mbona huyu prof hatumsikii Tena, au nae keshapewa ufukwe!
  4. K

    Mbunge wa CCM akijiliwaza baada ya kukosa Uwaziri

    Angali Hilo kono lake la kulia linapekenyua! Jitu lizima hovyo!!!!
  5. K

    KUMRADHI: Tupo kwenye marekebisho MUHIMU

    Kwa kweli muonekano ni mzuri! but unahitaji muda kuuzoea!! All in all hongereni sana gud job
  6. K

    Naomba kuuliza, hivi hukumu ya dowans ina deadline ya kulipa?

    Why can't we be proactive like our colleages in Tunis?????!!!!!! Mungu baba wape ujasiri poor tanzanians
  7. K

    Naomba kuuliza, hivi hukumu ya dowans ina deadline ya kulipa?

    Nijuavyo Mimi deadline ipo...... Malipo lazima yalipwe kabla ya kikao cha Bunge linalotarajiwa kuanza tar 8/2/11! Poor taxpayers TATIZO uoga!!!
  8. K

    Ukweli kuhusu dowans (t) ltd....!

    Mh! Poor Tanzanians!
  9. K

    Exclusive: Wizi nyumbani kwa Rais Mstaafu Mwinyi

    Hela ni za nani! Huyu mzee nae keshaanza utapeli
  10. K

    Naliona anguko la Kibanda

    Pole poor Kibanda! Wana jf njaa ni mbaya inaweza kumfanya mtu akahemewa kichogoni hv hv! Huyu bwana Kesha hemewa! Pole Poor Kibanda
  11. K

    Kumekucha: UVCCM-Mara yataka serikali isiilipe Dowans

    Cc tunaowajua wana Mara ni kwamba kule hakujawahi kuwa na wana ccm Ila kuna wapenda nchi ndio maana hata Nyerere angekuwa mzima Leo naamini angekuwa cdm! Hongera uvcdm Mara
  12. K

    Dk. Slaa: Tutajibu mapigo

    Nakubaliana! Nimesikitishwa sana na namna tbc walivopotosha ukweli!
  13. K

    TBC1: Ukweli wa yaliyojiri Arusha

    Tutamkumbuka Tido Muhando!
  14. K

    Rex Attorneys ni kashfa kubwa zaidi ya DOWANS

    Inauma sana! Think of an innocent and poor taxpayer kule kijijini kwako anayelipa kodi akitarajia ipo siku tz itajikwamua kutoka kwenye dimbwi la umasikini na hatimaye nae akaishi Kama binadamu! Ipo siku kila anayehusika katika dhuruma hii watawajibika! Walikuwapo akina Mobutu seseseko...
Back
Top Bottom