Nimesuggest mara nyingi kuhusu hii issue siziuzwe wazigawe bure kama karanga
Sio gharama ndugu yangu ukinunua dvd kwa jumla hii itakuwa ni kama 200/= cost per unit; kuburn dvd computer zipo nyingi siku hizi hapa cost per unit heunda ikawa 150/= hapa tukiuza shangingi la muheshimiwa mmoja hii kazi itafanyika na chenji itabaki ya kununua gari la kawaida na karo ya kupeleka watoto kama 10 shuleHapana voice unajua nchi yetu ni kubwa sana kuwagawia wote bure itakuwa issue kwa chama chetu. Mi napendekeza turudisha gharama tu
Hawa jamaa watakimbia kabisa.. Huko maofisini na huu tuupeleke the hegue
igp mwema, apc andengenye, ocd zuberi kaeni mkao wa keko..
Mkuu, Tuntemeke,nimependa jinsi ulivyowasilisha huu ujumbe muhimu. Mwaka 2015 tuwakilishe kwenye jimbo unafaa kijana tunataka tukuone Bungeni.
Kwa kauli ya Dr.(Phd) kuna mpango wa kuandaa cinema zima la Arusha, ni ukwel usiopingika tbc haiwez kurusha saga hilo na wengine watapenda kuonesha kama itv,str na ch10 lakn watauogopa kutangaziwa 'intelejensia'. Hivyo basi dvd ziuzwe mtaani ili m2 akitaka siku kupandwa hasira anaangalia cinema hilo.
Ni hayo tu
unamaanisha chanel ten hii ya RA au kuna nyingine mpyaKwa kauli ya Dr.(Phd) kuna mpango wa kuandaa cinema zima la Arusha, ni ukwel usiopingika tbc haiwez kurusha saga hilo na wengine watapenda kuonesha kama itv,str na ch10 lakn watauogopa kutangaziwa 'intelejensia'. Hivyo basi dvd ziuzwe mtaani ili m2 akitaka siku kupandwa hasira anaangalia cinema hilo.
Ni hayo tu
wasambaze mikoa yote hasa wilayani na mavyuoni
tunasubiri kwa hamu