jeviounipers
Member
- Jan 5, 2011
- 68
- 26
I am just curious wakuu.....i am trying to connect things he was saying kipama jotoni na elimu yake
I am just curious wakuu.....i am trying to connect things he was saying kipama jotoni na elimu yake
Huyu jamaa hawezi hata kuwa dereva kwa jinsi asivojua wapi au wakati gani aseme au afanye nini a.k.a hana busara.... anaweza kupiga honi mahakamani au hospitalini!!:suspicious:namjua dereva wa daladala posta-mwenge
Hana CV, si kila mtu ana CV, hajasoma sasa CV ataandika nini?
he is useless, even defn.. ya katiba hajui, unategemea nini?
Darasa la Saba B!
I am just curious wakuu.....i am trying to connect things he was saying kipama jotoni na elimu yake