Recent content by kungurumanga

  1. kungurumanga

    Ndugu zangu tujikumbushe watu maarufu waliotangulia mbele za haki

    marehemu Hemedi Maneti,remmy ongala ,method mogela wa yanga R.I.P
  2. kungurumanga

    Ndugu zangu tujikumbushe watu maarufu waliotangulia mbele za haki

    hii hamtakwepa no editing r.i.p watarajiwa
  3. kungurumanga

    Ndugu zangu tujikumbushe watu maarufu waliotangulia mbele za haki

    mimi sio mchawi ndugu yangu ni mtu mwema tu vipi nimekukwaza
  4. kungurumanga

    Ndugu zangu tujikumbushe watu maarufu waliotangulia mbele za haki

    katika thread hii tuwataje ikiwezekana kwa picha wachezaji wa mpira wa miguu,wanamuziki na waigizaji wa filamu kwa kuanzia waliotangulia mbele za haki.ahsanteni sote njia yetu ni moja.tenda mema siku zote.r.i.p wote waliotutoka.
  5. kungurumanga

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo dar es salaam nije songea manispaa ni inbox
  6. kungurumanga

    ushauri nataka kuacha chuo(udom).

    ngoja nikushushie mvua ya matusi inbox
  7. kungurumanga

    ushauri nataka kuacha chuo(udom).

    kamuone mkuu wa shule
  8. kungurumanga

    Anaumia wakati wa tendo

    usimuonee huruma kuna watu wanaitumia ukiwa haupo ohooooo
  9. kungurumanga

    Nahitaji mke wa kuoa

    ukipata mwanamke hapa atakuwa na tabia kama za faiza fox
  10. kungurumanga

    Msaada wa kiufundi kwa wataalamu wa magari

    plug hizo hazichomi badilishia waya
  11. kungurumanga

    TANESCO Songea hawaeleweki kabisa

    Muheshimiwa muhongo TANESCO Songea wanafanya ubabaishaji na ni kero .tunakuomba uingilie kati tabia ya ukatwaji hovyo umeme ambao hauna taarifa kwa siku wanakata hata mara 20 je ni nini tatizo?
  12. kungurumanga

    Burundi rejects African Union peacekeepers as 'invasion force'

    nkurunzinza aendelee tu kuua waafrika wenzake i bilieve new burundi is coming tomorrow
  13. kungurumanga

    'Ujinga' wa Ikulu unarudi kwa kasi

    subiri maelekezo ya serikali kujipandishia bei elimu kamavibama haikubaliki sasa tunaenda sawa wait
Back
Top Bottom