katika thread hii tuwataje ikiwezekana kwa picha wachezaji wa mpira wa miguu,wanamuziki na waigizaji wa filamu kwa kuanzia waliotangulia mbele za haki.ahsanteni sote njia yetu ni moja.tenda mema siku zote.r.i.p wote waliotutoka.
Muheshimiwa muhongo TANESCO Songea wanafanya ubabaishaji na ni kero .tunakuomba uingilie kati tabia ya ukatwaji hovyo umeme ambao hauna taarifa kwa siku wanakata hata mara 20 je ni nini tatizo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.