Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,474
Nipo serious mkuu, Najua humu naweza pata mke tuu cause kz yangu inanibana xana Cina hata mda wa kutafuta dada wa kuoa
uongo.
Nipo serious mkuu, Najua humu naweza pata mke tuu cause kz yangu inanibana xana Cina hata mda wa kutafuta dada wa kuoa
Mi naomba nkushaur kidogo.Humu utadanganywa tu bure cz wk zilizopta kuna mtu alilalamika hapa kwamba ameshachat na wanawake wa tatu bt kila wanapokubaliana kuonana na hao mabint wanaingia mitin na wengine wamemlia hata hela.kama upo serious tafuta namna nyingin utapat tu mke huku utapotezewa muda.
ukipata mwanamke hapa atakuwa na tabia kama za faiza fox
uongo.
Udalali utalipa sh ngapi?
mhh una katatizo ngan?
Duh warombo tena mkuu nawaogopa xana!njoo rombo wako wengi sana japo xmass hii tunawashughulikia kwanza
Nawatoto 3 Hony kama hutojal ni pm
Habari wana jf,
Natanguliza shukulani zangu kwa wana jf wote, Mimi ni kijana wa kiume nimeajiriwa na taasisi moja ya fedha hapa Dar, Nipo serious nahitaji mke wa kuoa mwenye sifa zifuatazo, age kuanzia maiaka 24-27, mweusi, mnene kiasi na u refu wa wastani maana mimi ciyo mrefu xana, pia awe mkiristo.
Mke haolewi buda,anaolewa mchumba, so nakushauri utafute mchumba!
Xawa mkuu Asahnte kwa ushauri waki
Yupo sahihi kwa cc christian tunaamin Mungu hampi MTU mchumba bali anampa mke.huyu kataka mke cz anataka kuoa ila angetaka mchumba tungesema bado anahitaj kuchunguza
Kijana kumbuka mke wa mtu ni sumu