Recent content by kunfayakun

  1. K

    Mashine Mpya Ya Vinywaji Baridi Inauzwa

    weee kama hujui inafanya kazi gani specs za nini buraza
  2. K

    BM Coach mmeleta changamoto kwa Abood Bus Dar mpaka Moro

    huyu bwana anataja taja tu aina za magari ya kichina niwazi hayajui kabisa BM COACH ana yutong tupu
  3. K

    Msaada ; Kutengeneza conversation fake

    hayo ya simu mbili ni gharama tu zisizo za lazima
  4. K

    Msaada ; Kutengeneza conversation fake

    software nzuri ni YAZZY Aisee utafurah thank me later i
  5. K

    Wosia unaaweza kutenguliwa?

    HAKUNA KITU KAMA WALITHI WALA ULITHI.REKEBISHA HAPO
  6. K

    Mbinu mpya wanawake wanayoitumia kumsaliti mpenzi/mume wake

    huwa hao ni wajanja sana atakuwahi kule kwa mumewe endapo utaonesha dalili za kutaka kumsema yeye anamwambia mumewe wew unamtaka then mshkaji anakufungia vioo so chochote utachosema hakitakuwa na nafasi
  7. K

    RIPOTI MAALUMU: Hiki ndicho kiini cha mauaji Pwani

    dhana itapeleka wengi motoni kuliko kingine chochote
  8. K

    Jirani yangu simuelewi

    hii post hajaandika akiwa amelewa
  9. K

    Kupaua nyumba (Makadirio ya gharama)

    yaani kashamuibia kwanzia hapa sasa sijui huko site kama hatomteka
  10. K

    Gambo, kama ni mkusanyiko usio halali mbona wafiwa umewaacha?

    tamaduni zetu waafrika msiba unaisha baada ya muda gani?
  11. K

    Kamanda Sirro na broken english

    hahahahahah sasa huyu kakaaa kaona ana siku hajaaibika kaunga bundle kaja
  12. K

    Kamanda Sirro na broken english

    hahahahaha yaani wewe na yeye bora yeye eti known badala ya noun hahahaha brocken ndo kitu gani yaani unataka kujikuta mkosoaji huku hujaiva
  13. K

    Rais Magufuli mpandishe cheo askari wetu kwa Ushujaa wake

    mtu hapewi sifa kwa kufanya alichotakiwa kufanya,ni kazi yake kwanza hapo kaperform below
  14. K

    Malima akamatwe (obstruction of justice)

    Sent from my HUAWEI Y300-0100 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom