Malima akamatwe (obstruction of justice)

Malima akamatwe (obstruction of justice)

!
!
Kwa ubashite Huu hata baiskeli hauna na kitecno wereva chako.
Watu kama nyinyi mlikuja kuharibu JF huu miaka ya nyuma huu ulikuwa uwanja wa hoja hapa angekuja mjuvi wa sheria akamwanga nondo, nakumbuka miaka kadhaa iliyopita walikuwa wanasema JF ni zaidi ya google na zaidi ya dictionary sawa sima baiskeli sawa natumia tecno wereva sijui huoni signature hapo chini but ukweli ni kwamba what this idiot did was obstruction of justice
7d4ffb487758d95e685139c1c8909818.jpg
 
Akili yako ndogo sana huoni mbali issue vyovyote vile ingekuwa kwanini usi mpige faini notification andika cyo kupiga malisasi juu kama kuna jambazi hekima pia haikutumika
 
Ila polisi wanaoshika silaha siku hizi hata siwaamini. Ni juzi tu walilifyatulia gari ya rafiki angu risasi tatu za ubavuni kisa alichelewa kupisha msafara wa basi la magereza liliokua linaelekea mahakamani. Mpaka sasa sijaelewa lengo lilikua ni ku mrestisha in peace ama nini. All in all ni bora kua mbali na hawa washika bunduki wa sasa.
 
Je kama ingekuwa gari linasubiri majambazi? watu wangesema hawafanyi kazi zao kupunguza majanga... huyo kuuliza sijui kama wanajua yeye nani hapana.. tabu pia video zipo vipande vipande hatujaona walikuwa wameanzaje hadi ikafikia hapo..

Ila ningekuwepo hapo ningekimbia, huo mtutu unatisha.

Polisi wangewahoji mashuhuda tujue kwanini alitumia bunduki yake..akiwa polisi amefanya kosa nae alipate ikiwa waliongeleshwa vizuri wakakataa basi nao wafunzwe.

Majambazi wengi sana siku hizi na wanatumia njia hizo hizo kama vile wao watu wana pesaa magari mazuri kumbeeeee ni hatariiiii

(Mods mnaunga threads, niliyoandika naona hayaendani na uzi mliokuja kuunganisha..bora kuanza kumquote mleta mada ieleweke tu...ndio maana kuchangia uzi kunaboaaaaaaaaaa)
choko
 
risasi zina tumika kwa kosa la mabishano.je ingekuwa katoa silaha mtumiwa si ingekuwa vita.polisi wengi sheria wanapindisha sana.hakupaswa kutumia silaha kama mtu kakosa ni jema kumuitaji polisi.
ni lisha wahi kusema kuwa polisi unaweza kumuambia hapa unavo nifanyia si jema lakini ukawa adui yake mda huo huo.
 
Ushamba wa mimi fulani ulishaisha
Tujifunze kutii amri bila kuleta ujuaji wa mimi nani
 
Barabarani kuna makatazo ya aina tatu kuhusu kusimamisha gari:

1. NO STOPPING
- Hapa hupaswi kusimama kabisa.

2. NO STANDING
- Hapa unaweza kusimama (STOP) kwa muda mfupi sana wakati unachukua kitu au abiria.

3. NO PARKING
- Hapa unaweza kuegesha (STAND) kwa muda mrefu kidogo lakini wakati wote lazima dereva awe ndani ya gari na engine ikiwa imewaka.

PARKING ina maana:
- umeegesha gari, dereva hayumo ndani, limezimwa, na milango imefungwa.

Sijui kilichotokea Masaki lakini hizo ndio
sheria za barabani.
We una matatizo makubwa sana.
 
Sifa za kijinga mnazotafutia JF zitakuja kuwaumbua, umeangalia tu clip hujahoji upande wa pili kama ambavyo mnasema zikija ishu za Makonda,umekimbilia tu kuanzisha uzi usiwe unatumia uwazi wa katikati kufikiri
 
Askari kakosa kuheshimu watu na silaha yake kwa kupiga risasi hewani sehemu ambayo maneno tu yangemaliza mzozo.

Anahitaji kufanyiwa uchunguzi wa kitaalamu kuhusu afya yake ya akili ili kuangalia kama ana uwezo wa kubeba silaha bila kuleta madhara kwa raia pasipo na haja.

Polisi wa Tanzania inawapasa watekeleze utaratibu wa kujitambulisha kwa vitambulisho rasmi kabla hata hawajaulizwa.
Acheni kumlaum yule askari yupo sahihi sana zaidi ya sana.hembu angalia wananchi wote pale waliokuwepo upande wa malima walikuwa wanasema nini.
Walikuwa wanatetea ujinga malima hakufanya kosa lkn dereva wake ndio alifanya kosa na alitakiwa kuadhibiwa kwa kosa lake hiloo.sasa malima akawa anamzuia askari kufanya kazi yake hilo ni kosa kubwa sana.polisi wanapaswa kuheshimiwa sana.

Hivi polisi wangesema waongee tu maneno na kumkamata wangemchukua kirahisi? Wananchi wote wangewashambulia polisi lkaini uliona baada ya kuzimimina juu raia wengine walikimbia na akachukuliwa kilaini.

Heshimu kazi ya mtu mwingine waache dharau.yule kijana inatakiwa apandishwe cheo
 
Ila polisi wanaoshika silaha siku hizi hata siwaamini. Ni juzi tu walilifyatulia gari ya rafiki angu risasi tatu za ubavuni kisa alichelewa kupisha msafara wa basi la magereza liliokua linaelekea mahakamani. Mpaka sasa sijaelewa lengo lilikua ni ku mrestisha in peace ama nini. All in all ni bora kua mbali na hawa washika bunduki wa sasa.
Mkuu yaani hata hapo hujaona uhalali wakupigwa.sasa alikuwa anataka kublock gari ya wafungwa ili uweje ili afanye nini alikuwa na lengo gani acheni kujufanya wajuaji sana.
 
Ac
risasi zina tumika kwa kosa la mabishano.je ingekuwa katoa silaha mtumiwa si ingekuwa vita.polisi wengi sheria wanapindisha sana.hakupaswa kutumia silaha kama mtu kakosa ni jema kumuitaji polisi.
ni lisha wahi kusema kuwa polisi unaweza kumuambia hapa unavo nifanyia si jema lakini ukawa adui yake mda huo huo.
Acha kupotosha mkuu .unajua lengo la kupiga risasi juu.nani kakwambia risasi inatumuka kukiw na majibizanoo tuu.

Unapopewa siraha ni pamoja na kujilinda mwenyewe.hivi kwa watu jinsi walivyokuwa wana wazomea polisi ingekuwaje tatizo wabongo tunajifanya tunajua sana mtu kavunja sheria anataka kuchukulia hatua kuna watu wanazuia askari wasifanye kazi yao huku wakiwa na siraha mkononi unategemea nini.

Hivi pale wangesema wamchukue yule dereva au malima mwenyewe unafikiri kingetokea nini??
Lakini uliona baada ya kuwatawanya watu kwa risasi wakambeba kiulaini kabisaa.
 
Askari kafanya kazi nzuri sana na maamuzi makini kabisa .Sheria haina macho haijalishi wewe ni nani.Kuna siku mkoani Lindi polisi mwenye nyota mbili alishindwa kutoa maamuzi ya haraka mara wananchi walipoanza kufanya fujo hali hiyo ilipelekea gari ya polisi ikachomwa moto wakati kilikuwa ni kitendo cha kufyatua risasi wakimbie gari iokolewe.wewe kama unahisi kuonewa mahakama ipo itatoa haki siyo kujifanya upo juu ya sheria. eti muweka post wa jana anasema risasi zinarindima masaki basi nikafikiri alshabab wamefamia base ya jeshi kumbe ni huo upuuzi.kuna mjinga kapost eti askari kafoji vyeti kwa bahati nzuri yule polisi kasoma LLB pale UDSM. Kweli ametuonesha anajua kutumia sheria vizuri maana ningekuwa mimi ndiyo polisi kitambo sana ningekuwa jela siwezi vumilia ujinga ule
 
Acheni kumlaum yule askari yupo sahihi sana zaidi ya sana.hembu angalia wananchi wote pale waliokuwepo upande wa malima walikuwa wanasema nini.
Walikuwa wanatetea ujinga malima hakufanya kosa lkn dereva wake ndio alifanya kosa na alitakiwa kuadhibiwa kwa kosa lake hiloo.sasa malima akawa anamzuia askari kufanya kazi yake hilo ni kosa kubwa sana.polisi wanapaswa kuheshimiwa sana.

Hivi polisi wangesema waongee tu maneno na kumkamata wangemchukua kirahisi? Wananchi wote wangewashambulia polisi lkaini uliona baada ya kuzimimina juu raia wengine walikimbia na akachukuliwa kilaini.

Heshimu kazi ya mtu mwingine waache dharau.yule kijana inatakiwa apandishwe cheo
Kusema askari kakosea si kusema kwamba Malima hajakosea. Unaelewa hilo?
 
"watu wana washutumu polisi nyie mmezidi"

Ungekua una akili nzuri hapo ambapo raia wamesema haya maneno ungegundua jambo.
Raia wamewachoka polisi kutokana na tabia zao za kifedhuri.
Usijudge tukio kisa tu clip ya dakika moja na sekunde 23.
Hiyo chaos ilianza mda mrefu na kwa experience inaonyesha tu polisi walikuja na tabia zao za kilevi ndipo watu waka retaliate.
Ukisikiliza clip hiyo askari anatishia watu na watu wanamjibu huna mamlaka hayo.
Hawa wavuta shisha sio watu wa kuwatetea.
Huu ni muendelezo tu wa raia kuchukia hawa watu ambao wamekua na tendency ya kufanya kazi bila weledi.
 
Baba hahitaji lujitambulisha kwangu kwamba yeye ni nani
Hata hivyo kuwa baba haimpi kiburi cha kuwa juu ya sheria
Kama baba yako yuko hivyo basi wewe na baba yako ni nyoko
Kama umezaliwa kwenye Tundu la choo usimalizie hasira zako kwangu mana hata nimezaliwa gesti ila mzazi lazima nimheshimu sasa kama utakata kununua matusi mwambie Mod atuandalie ligi ya kwetu pekee tutoke nje ya uzi wa watu.
 
Back
Top Bottom