Wosia unaaweza kutenguliwa?

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,295
21,419
Suala la mirathi/urithi ni miongoni mwa mambo ambayo hupumbaza watu maskini kujituma; kuna watu kutwa kucha kucheza bao na kubet wakisubili kurithi Mali za wazazi wao! Hili linachangia sana familia za kiafrika kuuwana!

" Kuna mzee mmoja alipogundua wanae hawataki kujituma, na kutwa walibishana kuhusu namna watakavyolithi Mali zake, yule mzee alikuwa na ghorofa moja ambayo alikusanya kodi kutoka Kwa wapangaji, yule mzee alivyogundua watoto ni wehu, akaamua kuandika wosia ( akielekeza kwamba pindi atakapokufa chini ya ghorofa kuna sanduku la dhahambu aliwahi kulificha ili liwafae wanae badae), na kweli baada ya yule mzee kufariki, wale watoto fasta walikodi greda na kubomoa lile ghorofa na wasiambulie chochote, wakaamua kuusoma tena Kwa makini ule wosia, yule mzee aliandika Kwa nyuma *MTAKAPOMALIZA KUBOMOA,SASA HAKIKISHENI MNATAFTA MALI YENU WENYEWE* na ndipo walipogundua nini mzee alimaanisha"
ULITHI UNAPUMBAZA!
****************************

CHANGAMOTO ZA WALITHI.
Katika kuondoa mkanganyiko Wa matumizi ya mirathi, wosia ndiyo kitu pekee kinachozingatiwa na kuheshimika endapo wosia ule uliandikwa Kwa kuzingatia masharti;

SWALI;
1. mtu aliye andika wosia akielekeza mali zake ziteketezwe zote; je; wosia huo waweza tenguliwa? (Kwanini)

2. Mwanamke aliye achika na kuacha watoto, halafu akaolewa sehemu ingine, pindi mwanaume aliyezaa naye anapofariki bila wosia, yule mwanamke Atakuwa na mgawo wowote kama mjane? (case study- IVON vs Zar )

3. Mwanamke mwenye watoto anayerithishwa Mali za mmewe, halafu mwanamke huyo baada ya mda akaolewa na jamaa mwingine, halafu naye akafariki! Je? Mali zake anaruhusiwa kurithi yule jamaa? (Kama ni ndiyo kunafaida gani mjane kurithi Mali?)

4. Mwanamke aliye ishi kinyumba na bwana ake pasipo ndoa Kwa at least 6 months, pasipo wosia je anaruhusiwa kuwa mrithi sahihi Wa Mali za marehemu?

[HASHTAG]#miss chagga[/HASHTAG] na [HASHTAG]#miss natafuta[/HASHTAG] michango yenu ni mhimu sana!
 
Wanawake siku hizi wanataka 50 Kwa 50! Usipoangalia unapotezwa ili walithi, mila za mababu zilikuwa safi sana, Mme anaoofariki, mwanamke kama anataka mali sharti akubari kuishi ukweni, na akitaka kuolewa mahali ipelekwe ukweni, sasa hivi ni ujuaji tu kama yule mama aliyemuibukia magufuri
 
Mkuu maswali haya magumu sana kwa wanasheria wetu hawa! Labda kama utampata Tundu Lissu huyo ndo anaweza kukupa mwongozo wa maana! Ila nikuulize, wewe ni MSUKUMA? Huna "r" kwenye sentensi zako?
 
Wewe ni MSUKUMA? Neno "ndo" unamaanisha kitu gani?
Suala la milathi/ulithi ni miongoni mwa mambo ambayo hupumbaza watu maskini kujituma; kuna watu kutwa kucha kucheza bao na kubet wakisubili kurithi Mali za wazazi wao! Hili linachangia sana familia za kiafrika kuuwana!
" Kuna mzee mmoja alipogundua wanae hawataki kujituma, na kutwa walibishana kuhusu namna watakavyolithi Mali zake, yule mzee alikuwa na ghorofa moja ambayo alikusanya kodi kutoka Kwa wapangaji, yule mzee alivyogundua watoto ni wehu, akaamua kuandika wosia ( akielekeza kwamba pindi atakapokufa chini ya ghorofa kuna sanduku la dhahambu aliwahi kulificha ili liwafae wanae badae), na kweli baada ya yule mzee kufariki, wale watoto fasta walikodi greda na kubomoa lile ghorofa na wasiambulie chochote, wakaamua kuusoma tena Kwa makini ule wosia, yule mzee aliandika Kwa nyuma *MTAKAPOMALIZA KUBOMOA,SASA HAKIKISHENI MNATAFTA MALI YENU WENYEWE* na ndipo walipogundua nini mzee alimaanisha"
ULITHI UNAPUMBAZA!
****************************
CHANGAMOTO ZA WALITHI.
Katika kuondoa mkanganyiko Wa matumizi ya milathi, wosia ndiyo kitu pekee kinachozingatiwa na kuheshimika endapo wosia ule uliandikwa Kwa kuzingatia masharti;
SWALI;
1. mtu aliye andika wosia akielekeza mali zake ziteketezwe zote; je; wosia huo waweza tenguliwa? (Kwanini)
2. Mwanamke aliye achika na kuacha watoto, halafu akaolewa sehemu ingine, pindi mwanaume aliyezaa naye anapofariki bila wosia, yule mwanamke Atakuwa na mgawo wowote kama mjane? (case study- IVON vs Zar )
3. Mwanamke mwenye watoto anayelithishwa Mali za mmewe, halafu mwanamke huyo baada ya mda akaolewa na jamaa mwingine, halafu naye akafariki! Je? Mali zake anaruhusiwa kurithi yule jamaa? (Kama ni ndiyo kunafaida gani mjane kurithi Mali?)
4. Mwanamke aliye ishi kinyumba na bwana ake pasipo ndoa Kwa at least 6 months, pasipo wosia je anaruhusiwa kuwa mrithi sahihi Wa Mali za marehemu?
[HASHTAG]#miss chagga[/HASHTAG] na [HASHTAG]#miss natafuta[/HASHTAG] michango yenu ni mhimu sana!


Naomba nikujibu kwa mujibu wa sheria za tanzania
Mirathi tanzania iko kwa namna au sheria tatu..
1.Sheria za kiislamu -kwa watu ambao ni waislamu na wameishi katika mapokeo ya dini hiyo
2.Sheria za Kimila-kwa watu walioishi kwa kufuata mila flani
3/Sheria zingine ; probate and Administration of Estate Act na rules zake pamoja na Indian Succession Act 'kwa watu wote ambao hawapo katika makundi hayo mawili au maisha Yao ni mchanganyiko pamoja na dini zingine
sasa kulingana na maswali yako naomba nijibu kwa kutumia zaidi sheria za fungu la mwisho

SWALI LA KWANZA
Ndio wosia wake unaweza kutenguliwa kwa sababu kitendo alichokiagiza si halali na pia kama kuna wategemezi au watu wanaotakiwa kumrithi wana haki kupata hiyo mali

SWALI LA PILI
ndio kama kwa kiwango alichoshiriki kuchangia upatikanaji.utunzaji au uendelezaji wa hiyo mali wakati wakiwa kwenye ndoa ikiwa hawakugawana mali wakati wa kuachana au kuna mali bado wanazimiliki pamoja kama nyumba waliokuwa wakiishi kumbuka tu hata mwanamke akiwa ni mama wa nyumbani ana mchango sawa na wewe kupata mali za familia unless mahakama iamue vinginevyo ... ref. ;Bi hawa mohamed case
SWALI LA TATU
jamaa harithi in general rule bt kama alichangia uendelezwaji wa mali ile kwa ruhusa ya warithi/mrithi wa awali impliedly au expressely atapata mgao kutokana na alichochangia na katika sehemu ya urithi aliyekuwa nao mke wake maana ni mmoja wa watu wanaotakiwa kumrithi mwenza wake

SWALI LA NNE

kuishi kinyumba kwa miezi sita kunaweza kusiwe sababu ya kumpa au kumyima mali mtu
ingawa haumo katika muda wa kusema ni mke au ku pressume ......Section 160 (1) of the Law of Marriage Act ( CAP 29 R.E. 2002) says that where it is proved that a man and woman have lived together for two years or more, in such circumstances as to have acquired the reputation of being husband and wife, there shall be a rebuttable presumption that they were duly married.
LAKINI MAHAKAMA ITAANGALIA YAFUATAYO
JE MAREHEMU ALIACHA WOSIA AULA
kama al;icha wosia amemtaja KIMADA KUWA MMOJA WA WARITH
au je kama hakuacha wosia na hakumtaja KIMADA KAMA MMOJA WA WARITHI JE KUNA AMBACHO AMECHANGIA KATIKA MISINGI YA UPATIKANAJI ,UENDELEZAJI AU UTUNZAJI KWA MUDA HUO? KAMA KIPO ATAPATA TO SUCH EXTENT
nawasilisha
 
Naomba nikujibu kwa mujibu wa sheria za tanzania
Mirathi tanzania iko kwa namna au sheria tatu..
1.Sheria za kiislamu -kwa watu ambao ni waislamu na wameishi katika mapokeo ya dini hiyo
2.Sheria za Kimila-kwa watu walioishi kwa kufuata mila flani
3/Sheria zingine ; probate and Administration of Estate Act na rules zake pamoja na Indian Succession Act 'kwa watu wote ambao hawapo katika makundi hayo mawili au maisha Yao ni mchanganyiko pamoja na dini zingine
sasa kulingana na maswali yako naomba nijibu kwa kutumia zaidi sheria za fungu la mwisho

SWALI LA KWANZA
Ngio wosia wake unaweza kutenguliwa kwa sababu kitendo alichokiagiza si halali na pia kama kuna wateemezi au watu wanaotakiwa kumrithi wana haki kupata hiyo mali

SWALI LA PILI
ndio kama kwa kiwango alichoshiriki kuchania upatikanaji.utunzaji au uendelezaji wa hiyo mali wakati wakiwa kwenye ndoa ikiwa hawakugawana mali wakati wa kuachana au kuna mali bado wanazimiliki pamoja kama nyumba waliokuwa wakiishi kumbuka tu hata mwanamke akiwa ni mama wa nyubani ana mchangop sawa na wewe kupata mali za familia unless mahakama iamue vinginevyo ... ref. ;Bi hawa mohamed case
SWALI LA TATU
jamaa harith in general rule bt kama alichangia uendelezwaji wa mali ile kwa ruhusa ya warithi/mrithi wa awali atapata mgao kutokana na alichochangia na katika sehemu ya urithi aliyekuwa nao mke wake maana ni mmoja wa watu wanaotakiwa kumrithi mwenza wake

SWALI LA NNE

kuishi kinyumba kwa miezi sita kunaweza kusiwe sababu ya kumpa au kumyima mali mtu
ingawa haumo katika muda wa kusema ni mke au ku pressume ......Section 160 (1) of the Law of Marriage Act ( CAP 29 R.E. 2002) says that where it is proved that a man and woman have lived together for two years or more, in such circumstances as to have acquired the reputation of being husband and wife, there shall be a rebuttable presumption that they were duly married.
LAKINI MAHAKAMA ITAANGALIA YAFUATAYO
JE MAREHEMU ALIACHA WOSIA AULA
kama al;icha wosia amemtaja KIMADA KUWA MMOJA WA WARITH
au je kama hakuacha wosia na hakumtaja KIMADA KAMA MMOJA WA WARITHI JE KUNA AMBACHO AMECHANGIA KATIKA MISINGI YA UPATIKANAJI ,UENDELEZAJI AU UTUNZAJI KWA MUDA HUO? KAMA KIPO ATAPATA TO SUCH EXTENT
nawasilisha
Asante mkuu, naomba ufafanue vizuri swali la kwanza, je ni sheria ipi inayotumika kutengua? Au ni busara inatumika?
 
Naomba nikujibu kwa mujibu wa sheria za tanzania
Mirathi tanzania iko kwa namna au sheria tatu..
1.Sheria za kiislamu -kwa watu ambao ni waislamu na wameishi katika mapokeo ya dini hiyo
2.Sheria za Kimila-kwa watu walioishi kwa kufuata mila flani
3/Sheria zingine ; probate and Administration of Estate Act na rules zake pamoja na Indian Succession Act 'kwa watu wote ambao hawapo katika makundi hayo mawili au maisha Yao ni mchanganyiko pamoja na dini zingine
sasa kulingana na maswali yako naomba nijibu kwa kutumia zaidi sheria za fungu la mwisho

SWALI LA KWANZA
Ndio wosia wake unaweza kutenguliwa kwa sababu kitendo alichokiagiza si halali na pia kama kuna wategemezi au watu wanaotakiwa kumrithi wana haki kupata hiyo mali

SWALI LA PILI
ndio kama kwa kiwango alichoshiriki kuchangia upatikanaji.utunzaji au uendelezaji wa hiyo mali wakati wakiwa kwenye ndoa ikiwa hawakugawana mali wakati wa kuachana au kuna mali bado wanazimiliki pamoja kama nyumba waliokuwa wakiishi kumbuka tu hata mwanamke akiwa ni mama wa nyumbani ana mchango sawa na wewe kupata mali za familia unless mahakama iamue vinginevyo ... ref. ;Bi hawa mohamed case
SWALI LA TATU
jamaa harithi in general rule bt kama alichangia uendelezwaji wa mali ile kwa ruhusa ya warithi/mrithi wa awali impliedly au expressely atapata mgao kutokana na alichochangia na katika sehemu ya urithi aliyekuwa nao mke wake maana ni mmoja wa watu wanaotakiwa kumrithi mwenza wake

SWALI LA NNE

kuishi kinyumba kwa miezi sita kunaweza kusiwe sababu ya kumpa au kumyima mali mtu
ingawa haumo katika muda wa kusema ni mke au ku pressume ......Section 160 (1) of the Law of Marriage Act ( CAP 29 R.E. 2002) says that where it is proved that a man and woman have lived together for two years or more, in such circumstances as to have acquired the reputation of being husband and wife, there shall be a rebuttable presumption that they were duly married.
LAKINI MAHAKAMA ITAANGALIA YAFUATAYO
JE MAREHEMU ALIACHA WOSIA AULA
kama al;icha wosia amemtaja KIMADA KUWA MMOJA WA WARITH
au je kama hakuacha wosia na hakumtaja KIMADA KAMA MMOJA WA WARITHI JE KUNA AMBACHO AMECHANGIA KATIKA MISINGI YA UPATIKANAJI ,UENDELEZAJI AU UTUNZAJI KWA MUDA HUO? KAMA KIPO ATAPATA TO SUCH EXTENT
nawasilisha
Nina wasiwasi huenda unavyeti feki, hujaeleweka pamoja na mwandiko mbaya inaelekea wewe ni msambaa,
 
Asante mkuu, naomba ufafanue vizuri swali la kwanza, je ni sheria ipi inayotumika kutengua? Au ni busara inatumika?
sheria za mirathi zote nilizozitaja zina husika katika hili ,kwa sababu kumiliki mali kwa wategemezi ni haki yao ya msingi na haiwezi kuwa deprived kuna kesi moja baba baada ya kumuita mtoto wake kijijini kutoka marekani alipokuwa akifanya kazi mtoto alicheleawa au kupuuzia wito mzazi akaandika mali zake zote ziuzwe apewe maskini lakini baada ya kifo na ku chalange mahakamani wosia ulitenguliwa na mtoto akarithi-
mwingine aliamua kuwa akifa mali zake zote ziteketezwe lakini warithi wake baada ya kufa walichalange huo wosia na mahakama ikautengua
 
sheria za mirathi zote nilizozitaja zina husika katika hili ,kwa sababu kumiliki mali kwa wategemezi ni haki yao ya msingi na haiwezi kuwa deprived kuna kesi moja baba baada ya kumuita mtoto wake kijijini kutoka marekani alipokuwa akifanya kazi mtoto alicheleawa au kupuuzia wito mzazi akaandika mali zake zote ziuzwe apewe maskini lakini baada ya kifo na ku chalange mahakamani wosia ulitenguliwa na mtoto akarithi-
mwingine aliamua kuwa akifa mali zake zote ziteketezwe lakini warithi wake baada ya kufa walichalange huo wosia na mahakama ikautengua
Hapo ni watoto; je kama marehemu hana watoto, nani mwingine anaweza kuchallenge ili kutengua? Nini lengo la kuandika wosia? Kwani wosia unalazimisha kurithisha watoto? Sheria inasemaje Kwa marehemu aliyejinyonga Kwa kubambikiwa watoto baada kupima DNA, ambapo marehemu anakuwa kaacha wosia Mali walithi wengine au ziteketezwe?
 
Wosia ukiandikwa basi hakuna cha kuongeza wala kupunguza.

Kuhusu mwanamke tunaangalia mmewe aliandika nini? Kama hajaandika chochote basi sheria inafwata anatafutwa msimamizi wa mirathi wanagawa mali kisheria.

Kwa case ya zari hapa kazi ipo na nijuavyo bila shaka ivan aliandika wosia hawezi miliki vitu vyote bila wosia.

Sasa tusubiri wosia hapo j2 utasemaje.

Najua marehemu bila shaka kuna vitu anavyokuwa amechuna na mkewe sasa tunategemea awe ameandika chochote.

Kwakuwa zari aliolewa kwingine tutegemee chohote maana ni tofauti na watu ambao wanakuwa wameachana afu kila mmoja yupo peke yake.

Note: jamii itambue kifo huwa ni gafra saa yeyote unaondoka, jamani tengezeni wosia ili kutoa utata.

Kuna kesi moja ilishangaza watu wakabaki mdomo wazi.

Mzee moja tajiri aliandika wosia cha kushangaza, watoto wake wa kuzaa na mkewe hakuwaweka kwenye wosia. Kwenye familia yake aliishi na mtoto ambae alimtoa mtaani na kumlea, mtoto huyo alimheshimu na kumtii mzee huyo hadi kwenye wosia vitu vyote kamrisisha huyo kijana. Ilikuwa ni case ya kusisimua.

Mahakani iliamua kuwa wosia wa marehemu uheshimiwe na yule kijana kwa busara akawagawia mali kaka zake na mama yake mlezi. Kwa mapenzi yake na shinikizo ya mtu yeyote maana sheria inamlinda
 
sheria za mirathi zote nilizozitaja zina husika katika hili ,kwa sababu kumiliki mali kwa wategemezi ni haki yao ya msingi na haiwezi kuwa deprived kuna kesi moja baba baada ya kumuita mtoto wake kijijini kutoka marekani alipokuwa akifanya kazi mtoto alicheleawa au kupuuzia wito mzazi akaandika mali zake zote ziuzwe apewe maskini lakini baada ya kifo na ku chalange mahakamani wosia ulitenguliwa na mtoto akarithi-
mwingine aliamua kuwa akifa mali zake zote ziteketezwe lakini warithi wake baada ya kufa walichalange huo wosia na mahakama ikautengua
Ana haki ya kurithi hata kama anajitegemea kimaisha ? Yaani ni mtu mzima na familia yake ?
 
Back
Top Bottom