Hajajichanganya wewe ndo umeelewa kinyume kasema katiba ya chadema inamapungufu katika hicho kifungu na katika bunge la katiba hakenda kuwakilisha chama bali taifa kwa ujumla hvyo katiba mpya haijakidhi swala la mungano hivyo ataendelea kuipinga. bado hujaelewa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.