Mwisho wa dunia: Freemason watoa tamko

Mwisho wa dunia: Freemason watoa tamko

mambo mengine bhana yanataka uwe mwendawazimu ili kuyasikiliza,Hivi hao wanaojiita eti Wanasayansi ina maana wao wanafanya utafiti tu wa namna Dunia itakavyoangamia na siyo namna ilivyotokea na namna maisha yalivyoanza hadi leo?.Binadamu akishiba ugali anaweza kuongea mengi hata ambayo hayawezekaniki,Hivi hii Dunia waliiumba wao??,km siyo nani aliumba na kwanini wao wanajishughulisha sana na kujua kuangamia kwake?.
 
Hii ndiyo faida ya jf, nilijisahau kabisa na suala zima la kula ujana, kumbe hata umri wa kustaafu sitoufikia!!
 
Hakuna binaadamu anayejua mwisho wa dunia isipokuwa Mungu peke yake mbona hao wanasayansi wasiseme na wasijue siku yao ya kufa?
 
Hayo yakitokea nitakuwa kwenye Meditation, hivyo hakutakuwa namadhara kwangu!
 
Stupid ideas! Ni yule tu aliyeifanya duniq iwepo ndiye Pia anayeweza kuifanya isiwepo!
 
id yako imenikumbsha mengi na coment yako imenikumbusha umuhmu wa iyo kitu

id imekukumbusha nini white frank mhiro?. Kumediate kunafaida nyingi sana, ukiielewa vyema unakuwa mbali nahuo utabiri wao na unaishi maisha yafuraha tele!
 
Planet X au Nibiru was supposed to corride with palnet Earth by Dec 21 2012, ilishakuja na kupita and it take more than miaka 3200 kurudi tena. There is no such threat from Nibiru labda kama kuna Near Earth Object (NEO) nyingine zaidi ya Nibiru.

We are safe more than you understand, nothing will corride with Earth as everything is being monitored by a team of scienticist in various places in the world, although wanakubali sometimes assessment zao sio conclusive kwa mfano last year December 21 kuna NEO ilitua maeneo ya Russia, haikuleta madhara makubwa ilivunja vioo vya nyumba tu na kuchoma moto in some places, hawakuiona hiyo mpaka baada ya kuingia kwenye anga la dunia

Hivi huwa mnaugonjwa upi wa hizi "L" na "R" kuzibadili? ukitamka, naweza kuelewa kuwa hiyo ni lafdhi ya lugha mama uliyoizowea na pengina katika lugha yako hakuna "r" au "l" kwa hiyo inakuwa shida kwako kutamka, lakini ikija kwenye kuandika ndipo mnaponishangaza, hivi huoni kuwa umekosea au ni ujinga tu uliowajaa vichwani?
 
End of the movie not this planet ever,picha uliyokuwa inaihadithia ndio omefikia mwisho kama ionekavyo hapo juu.
 
Mwanadamu hana uwezo wa kujua mwisho wa dunia maana hiyo ni siri kubwa anajua mungu peke yake.
Kama hatuwezi kujua nini kitatutokea sekunde mbili zijazo tutawezaje kujua mwisho wa dunia?

Uongo mtupu, iliandikwa kesheni mkiomba maana hamjui siku wala saa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom