Israel yaishambulia Syria

Israel yaishambulia Syria

Last edited by a moderator:
Tatizo unavyonifikilia nilivyo ndipo unavyokosea... Hayo maandiko ya Paulo ni miaka mingi ilipita na utawala wa ROMAN ulikuwa bado umeshika madaraka... so Hisrory haibadilishwi na mtu wa Mbeleni... The fact inabakia pale pale Roman ndio walimuua Yah-shua ambaye wewe unamzungumzia hapa kama ni Yesu na Koran inamuita Isa bin Mariam... Kifo cha Yesu kilitabiliwa na pia ilikuwa lazima kitokee Uyahudi una kosa gani hapo?

Huyo aliyekuambia Agano la Kale limepitwa ndio hao waliotabiliwa kuwa ole wao wabadilishao neno...

Wewe ndio utakuwa muigaji mkuu hapa kila Swali lina jibu lake ni mimi najulikana na Waislam wa JF Kuwa ni Kiboko yao...

Kaombe usaidizi zaidi kwa wakuu wako maana huwa wanakusanyika na wanapotea...
Huja na kulalamika kuwa Nimewatukana japo mimi situkani mtu nawapa ukweli wa Koran ilivyoandika na baada ya kutambua hupotea... kuambiwa ukweli sio kutukanwa... Huwezi Bisha kuwa Mwamedi alibaka kibinti cha miaka 9, Huwezi kataa Mwamedi aliua watu wengi katika Historia ya Dunia na bado watu wanauwawa kila siku kwa jina lake na Allah ati sio waislam au wamekataa kuwa Waislam... mtu akikuambia unasema umetukanwa????

Usiwasingizie Wakrito kuwa matusi ni sehemu ya Ibada!!!! hili huwezi kuwa na ushahidi nalo ila katika Matukio mengi duniani Waislam ndio hutusi zaidi Ukristo

Ukiristo matusi ni sehemu ya ibada ndio maana bible inazungumzia matusi bila ya kificho

Mfano biblia inasema mwanamke Malaya huti***kwa sababu ya kipande cha mkate
 
Mada nzuri mmeiharibu kwa mambo yenu ya udini.. Badala ya kujadili facts mnajadili maandiko ya vitabu na mitume. Hao Israel na ISIS wanawajua mitume kuliko nyie mambulula wa jamiiforums na mambo wanayoyafanya wala hayana uhusiano na dini, ndio maana ISRAEL hamshambulii ISIS na wala ISIS hamshambulii ISRAEL.. Marekani wanatoa msaada wa silaha na mafunzo kwa ISIS, SAUDI Arabia inawasaidia ISIS.. IRAN inawasaidia makundi yanayopambana na ISIS.. Sasa badala ya kujadili mambo yaliyoko nyuma ya pazia nyie mnajidai mnajua dini... Shame on u.
 
Jesus died for your sins and sins of Muhammad your allah incarnate.

hii ni imani ya ajabu sana mkuu,,, Muhammad (SAW) anahusika vipi na kifo cha YESU??? Thibitisha basi mkuu kama YESU aliuwawa na Waislamu au kwa dhambi za waislamu... Kama YESU alikufa kwa dhambi zako sasa wewe unaenda kanisani kufanya nini?? Mungu huyu alivyokuwa akiteswa msalabani ni nani alichukuwa majukumu yake ya uungu, na zile siku alizokuwa kaburini kabla ya kufufuka nani alikuwa MUNGU sasa... hivi pale alipokuwa anasurubiwa YESU kuna muislamu alikuwepo kweli?? mkuu uislamu ni aina tofauti kabisa ya mfumo wa maisha tofauti na huo unaoufikilia wewe.... WAISLAMU LEO HII WANAPIGANA NA WALE WALIOMUUA YESU KWA SABABU ZILEZILE,,, auoni biashara siku hizi kwenye MAKANISA yetu?? auoni siku hizi WAHUBIRI WANAMABODIGADI KWENYE MAENEO YA MAHUBIRI???

MKUU WAPINGA KRISTO NDIO MAADUI WA WAISLAMU...
 
Ukiristo matusi ni sehemu ya ibada ndio maana bible inazungumzia matusi bila ya kificho

Mfano biblia inasema mwanamke Malaya huti***kwa sababu ya kipande cha mkate

Kama ilo Onyo kwako ni Matusi basi Koran ni Balaa maana imeamrisha maovu tupu kama Kuua Kubaka wasio Waislam, Ugaidi,Kuchinja chinja Koran ni Funika Bovu..... Huna Nyimbo kijana kwani Uislam sio Dini bali ni Taasisi za Kishetwani na hilo lina uthibitisho wa Halal tupu na Hadi kuna Aya za kumuomba Shetwan asaidie lol na Mashahidi mmojawapo Mke wa Mwamedi aliyemzidi umri kama mwanae
 


Nadhani ungewajibu waislam Wenzio kucha kutwa wanasema Wayahudi ndio Wamemuua Yesu.... na sio kunijibu Mimi Kiboko Yenu.... na hili umewathibitishia Waislam wote wenzako kuwa hawana uwezo wa kuweka mdahalo na mimi wengi wenu ni weupe vichwani haswa huyu Nyundo Kipozeo na beco

Katika Waislam wanaoweza mdahalo na mimi sijaona bado huyo Naik naye ni Mdhaifu sana kuongea kwake haraka haraka ndio kunawazuzua watu wengi ila ukweli unabakia pale pale Uislam sio Dini ni Taasisi ya Shetwain
 
Last edited by a moderator:
Kama ilo Onyo kwako ni Matusi basi Koran ni Balaa maana imeamrisha maovu tupu kama Kuua Kubaka wasio Waislam, Ugaidi,Kuchinja chinja Koran ni Funika Bovu..... Huna Nyimbo kijana kwani Uislam sio Dini bali ni Taasisi za Kishetwani na hilo lina uthibitisho wa Halal tupu na Hadi kuna Aya za kumuomba Shetwan asaidie lol na Mashahidi mmojawapo Mke wa Mwamedi aliyemzidi umri kama mwanae

Jisomee Quran hapa

Surat Al-'Ikhlas - The Noble Qur'an - ?????? ??????

Surat Maryam [19:36] - The Noble Qur'an - ?????? ??????

The Noble Qur'an - ?????? ??????

 
Last edited by a moderator:
Myahudi Kuua ni kawaida yake Mlaleo.
Umesahau na yesu pia walimfanya hivyo hivyo km wanavyo wafanyia Waarabu?

Kwa mtu mwenye fikra finyu unaona Uuwaji ni ujanja. yesu wa msalabani pia hakuwakosea lolote lkn walimtesa na kumuua msalabani.
Km matendo hayo ni furaha kwako basi iko siku na wewe yatakutokea tu uone utamu wake.
kwanza hamna mwarabu palestine,hiyo ni dhana kwa sababu ya uislamu wapalestine ni wayahudi waliosilimu baada ya uislamu kuwa na nguvu,na unaodhani ni wayahudi ni wa khazar waliobadili dini karne ya 8 kutoka upagani na kuingia uyahudi kama dini,original wayahudi waliua jesus ni yishuv(palestine jews) ambao ni damu moja na palestine ila dini tofauti,isipokuwa media ina fanya natanyahu (ashkenazi) kuwa original jews na yishuv na palestine kuwa siyo.
 
Last edited by a moderator:
Hapo Ndipo Utakapoutambua Ubora Wa Israel. Hawa Jamaa NAWAPENDA Hamna MFANO! Ukiwachukia Waisrael Utakuwa PUNGUWANI Kichwani.

kuna kuipenda israel kwa namna nyingi.wengine ni ulevi wa kwenye bible,wengine ni namna wanavyowauwa wapalestina.hujasema wewe unaipenda kivipi.
 
Sijawahi kusikia kitu ambacho hajawahi anzisha Myahudi.... Akiwemo Mungu.... na anaabudiwa hadi leo tokea Myahudi amuanzishe... na hamna aliyemuona...
Eti unasema nani kamuanzisha Mungu? Hivi nyie watu mnafikiria kwa kutumia vichwa au matako.?
 
Hawa jamaa Waisrael wanamwita mama yake Yesu Kahaba, na yeye mwenyewe Mwanaharamu!
Halafu hawana time na Yesu!
 
Back
Top Bottom