Katiba ya Chadema ni ya hovyo ndio maana Shibuda aliichoma moto
Watu wana deal na mti wenye matunda tuu!.kwani mkuu hebu tuambie mwana ccm akienda mahakamani inakuwaje?kwa mujibu wa katiba ya ccm?
Nimefarijika sana kumsoma Arfi akizungumzia kipengele hiki.
Mimi nilikizungumzia hapa.
CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2015, Hakuna Hatari Kugeu
Pasco
kwani mkuu hebu tuambie mwana ccm akienda mahakamani inakuwaje?kwa mujibu wa katiba ya ccm?
Nimefarijika sana kumsoma Arfi akizungumzia kipengele hiki.
Mimi nilikizungumzia hapa.
[h=3]CHADEMA Ikipewa Nchi, October 2015, Hakuna Hatari Kugeu
[/h]Pasco
Anajichanganya tu huyu..
Mara katiba ya chama mara katiba ya nchi mara alitofautiana na viongozi mara sina shida na viongozi aaaah.
Blaah blaah mbumbumbuuu.
Mambo ya chama yanaamuliwaga na mahakama?
Kwahiyo chama kinaendeshwa na mahakama?
Anajichanganya tu huyu..
Mara katiba ya chama mara katiba ya nchi mara alitofautiana na viongozi mara sina shida na viongozi aaaah.
Blaah blaah mbumbumbuuu.
Mambo ya chama yanaamuliwaga na mahakama?
Kwahiyo chama kinaendeshwa na mahakama?
Watu wana deal na mti wenye matunda tuu!.
We don't care kuhusu 'la kuvunda' wala 'sikio la kufa'!.
Pasco
Anajichanganya tu huyu..
Mara katiba ya chama mara katiba ya nchi mara alitofautiana na viongozi mara sina shida na viongozi aaaah.
Blaah blaah mbumbumbuuu.
Mambo ya chama yanaamuliwaga na mahakama?
Kwahiyo chama kinaendeshwa na mahakama?
Ndugu kuwa makini,unammezesha maneno ambayo hajaongeaArfi amekuwa mwanachama wa CHADEMA kwa zaidi ya miaka 10, amekuwa Makamu mwenyekiti wa CDM kalibuni miaka 5..na kama kiongozi ilibidi uifahamu vema katiba kuliko wanachama wa Kawaida uliwezaje wewe kuitetea katiba ya CHADEMA wakati vipengele muhimu kama hivyo hukuvijua?
Kwa nini sasa hivi ndio uanze "kuifahamu" katiba wakati umetemwa ktk uongozi?? Sisi hatutashangaa kuwa utawaunga wasaliti wenzako huko ACT na haitusumbui sababu huna madhara yeyote wewe msaliti.